Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
Dah! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona kanisa linatumia maturubai na viti vya plastiki ujue umeshapigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona kanisa linatumia maturubai na viti vya plastiki ujue umeshapigwa.
ROMAN CTHOLIC (RC} JINA Roman LILISHAONDOLEWA SIKU NYINGI WATU BAADA YA KUENDESHA MGOMO KUWA WAO SIO WAFUASI WA ROMA!!! KAMUULIZE PADRI WAKOPole sana na sio Tanzania dhehebu langu linaitwa Roman Catholic (RC) umevamia dini unataka kufundisha ata usivyovijua si ndio unaniattack utafikiri apo umekaa na yesu pembeni khaaa uliza gugo wakwambie
Baba Mtakatifu akitandika BEER takatifu siku ya birthday yakeNitakufa nikiwa kanisa katoliki. Full stop
Uko mkoa gan mkuu?Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
mungu ana mama yake aliyemzaa anaitwa Maria Mama wa MUNGU!!!Hakuna Kanisa ambalo lina misingi bora ya kiimani na yenye kumpendeza Mungu kama Kanisa takatifu Katoriki la mitume. (Roman Carothic).
Kwanza lina misingi ya kiuongozi kuanzia chini mpaka juu… pia lina muabudu Mungu wa kweli…
Baba Mtakatifu akitandika BEER takatifu siku ya birthday yake
Katoliki kwa mbege hamjambo..naishi karibu nalo aisee father akiteremka madhabahuni tu yupo grocery Ni balaaKanisa katoliki, niko hapa na baba paroko na waumini wenzangu tunapiga safari lager bariiiidi na kutafakari masomo ya dominika ya leo
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona kanisa linatumia maturubai na viti vya plastiki ujue umeshapigwa.
Kanisa halipo kila wilaya wala mkoa lipo hapo hapo..haya makanisa ya wapigaji hakuna taasisi.Jiunge Pentecost international worship center lipo ursino street plot no 28 unaweza kuwatembelea Juma pili moja
Ursino street ni mtaa wa Kikwete maarufu mikocheni karibu na morroco
Kanisa liko na sita tajwa
Kwa nini usimwelekeze..Kuna kanisa wanaita church of Christ. Litafute utanishukuru.