Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Acha kuchanganya lugha! Nahisi najibizana na mtoto wa kidato cha pili.Hizo ni lugha tu,mlevi wa madaraka,mlevi wa pombe,mlevi wa chakula n.k mlevi ni mlevi.unajua maana ya Gluttony?
Hicho kifungu kinaongelea walevi wa namna gani?
 
Vitabu ulicho quote cha jalalani
Kukusaidia agano Ka kale wenye vitabu vya agano LA kale no wayahudi ambao ni taifa lililotembea na Mungu

Kanisa halikupata shida kupata vitabu vya agano LA kale lilichukua vitabu vyote vya wayahudi ikaviweka kwenye Biblia

Ndio maana Biblia ya vitabu 66 agano la kale makanisa yote yasiyo katoliki yalichukua kwenye Jews Bible yaani Biblia ya Wayahudi tunalingana nao vizuri tu kwenye agano LA kale

Kanisa katoliki likaenda kuokota vitabu sita majalalani kikiwemo hicho cha Yoshua Bin sira na kuviweka kuwa sehemu ya agano LA kale Ku justify ulevi wao.Kwenye Biblia ya wayahudi hakimo ambao ndio wenye agano lote LA kale.Catholic wakaongeza vitabu sita hivyo kuwa na Biblia yao wao tu yenye vitabu 72 badala ya 66 na hivyo walivyoongeza sita vyote vya agano LA kale na waliviokota majalalani wayahudi wenye agano LA kale hawavitambui
Sawa mkuu! Yesu alipobadili maji kuwa divai kwenye harusi ya kana nadhani pia haipo kwenye bible yenu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnajiita mpo deep kwenye Bible na hukijui hiki kitabu!? Mpo serious na kwenda mbinguni kweli? [emoji23][emoji23][emoji23] Njoo mafundisho upate uelewa uongoke.
Sijasema sikijui bali nimesema hakipo kwenye kila biblia.
 
Sawa mkuu! Yesu alipobadili maji kuwa divai kwenye harusi ya kana nadhani pia haipo kwenye bible yenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikujibu kirahisi zabibu hutoa vinywaji aina mbili cha kwanza ni juisi ya zabibu ambayo huitwa divai na ziko kibao juice za zabibu cha pill ni mvinyo ambayo ni pombe kali

Yesu alibadilisha maji kuwa divai sio kubadilisha maji kuwa mvinyo Wa akina Chapombe !!!
 
Nikujibu kirahisi zabibu hutoa vinywaji aina mbili cha kwanza ni juisi ya zabibu ambayo huitwa divai na ziko kibao juice za zabibu cha pill ni mvinyo ambayo ni pombe kali

Yesu alibadilisha maji kuwa divai sio mvinyo Wa akina Chapombe !!!
MWA 19:20

Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu; 21akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake. 22Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje. 23Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.

Mwisho wa kunukuu

Aisee Divai yako inalewesha bhn [emoji23][emoji23][emoji23]

Dah haya madhehebu mnapotolea mafundisho yenu si bure mnakufa mkikanyagana kupata mafuta ya upako,Wengi elimu kichwani ni sifuri! Hamna misingi ya imani.Nadhani mtoa maada mpaka sasa atakuwa ameshatambua kanisa sahihi la kujiunga labda aamue tu kushupaza shingo!
 
MWA 19:20

Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu; 21akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake. 22Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje. 23Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.

Mwisho wa kunukuu

Aisee Divai yako inalewesha bhn [emoji23][emoji23][emoji23]

Dah haya madhehebu mnapotolea mafundisho yenu si bure mnakufa mkikanyagana kupata mafuta ya upako,Wengi elimu kichwani ni sifuri! Hamna misingi ya imani.Nadhani mtoa maada mpaka sasa atakuwa ameshatambua kanisa sahihi la kujiunga labda aamue tu kushupaza shingo!
Kifupi ukiona kwenye Biblia inaongelea Divai inayolevya wanaongelea mvinyo Watafsiri walikuwa wakijichanganya .Ila rahisi kuelewa ukiona wanaongelea divai inayolewesha wanaongelea mvinyo agano LA kale sehemu kibao iko specific inaongelea sana mvinyo kama kilevi na agano jipya lime define wazi kuwa msilewe kwa mvinyo Bali mjazwe na Roho mtakatifu agano jipya linaweka mipaka wazi tofauti ya mvinyo na Divai

Agano jipya divai ni juice mvinyo ni pombe
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Tafuta makanisa ya Ki Anglican hakika nakwambia hutojutia
Karibu sana tumwabudu Mungu ktk roho na kweli
Achana na mapokeo
 
Kanisa LA kwanza wala halikuanzia Roma mnadanganyana
Kanisa LA kwanza lilianzia Israel alikozaliwa Yesu kuhubiri kusulubiwa na kufa

Mitume 12 wote hakuweko mroma hata mmoja

Yesu aliposema juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu hakuwa akimwongelea Petro alikuwa akijiongelea Yeye
Kristo ndie Jiwe kuu la Pembeni na Mwamba

Kanisa hakuna linalojengwa juu ya binadamu awe Petro ,Papa,Kakobe,Gwajima au Roma,au yeyote

Kanisa Mwamba ni Yesu tu sio Petro au yeyote

Ni kufuru kusema kanisa limejengwa juu ya binadamu

Hata kusema sijui kanisa LA Roman au la KKKt au LA TAG au LA Kakobe au LA Rwakatare au LA Gwajima nk ni upagani

Kanisa ni LA Kristo full stop si Mali ya yeyote na hakuna mwenye hatimiliki nalo had I kuliita La Petro au LA Roman au LA SDA nk

Wakorinto ndio waliwatambua wakristo kuwa ni Wa kanisa LA Kristo



Uko sawa mkuu Yesu tu ndo Kanisa la kweli.
 
Endeleeni kuabudu viroba na mchanga na cement+rangi, sijui dini ya kweli ila according to bible katoliki ni kanisa lililopotoka hata shuhuda za ibada zenu ni ungofu na ubatili mtupu.
wew unafikiri wakatoliki ni wapumbavu kiasi kwamba hawajui wanachokiabudu?

Mawaonaga walokole kama mafarisayo wa siku hiz
 
Jidanganye

1 Wakorintho 6:9-10
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Tofautisha Kati ya kunywa pombe na kulewa
 
Back
Top Bottom