Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Karibu KKKT
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Wakikujibu hasa namba 4 unitagi
 
Kanisa lolote lisilotaja jina la YESU usiingie.Kuwa makini Sana wengine utaja YES kijanja Sana na sio YESU.Jina la YESU linanguvu litajwapo hakuna pepo wala shetani usogea likitajwa,thus wachungaji na manabii washirikina huwa awalitaji kwenye makanisa yao hofu ya kuharibu mambo.
Mkuu, hii mpya kwangu. Wanataja yes?
 
Kanisa la Waadventista Wasabato(SDA) mchungaji asipokuwepo wanashika zamu wazee wa kanisa, lipo kila mtaa na karibu kila nchi ulimwenguni, malezi ya watoto ni ya hali ya juu.. kuanzia akiwa tumboni(miaka 0-3) wavumbuzi, watafuta njia na vijana wakubwa. Sadaka mnasomewa mchanganuo.. asilimia kadhaa zinaenda ngazi za union,divishen,conferensi kuu ya ulimwengu huku kiasi kinabaki kanisani, wachungaji wanalipwa mshahara na ngazi ya ulimwengu na si pesa inayokusanywa kwenye ibada.

Hakuna ubaguzi na ni kanisa la haki.. waumini wanatembeleana na kusaidiana kwa hali na mali kupitia vikundi vidogo vidogo tunaita vikosi vinavyoundwa kutokana na mtaa mnaoishi.. karibu
Tatizo baadhi ya mafundisho yao niyauongo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hunizidi Mimi
Kuna siku walikua wanachangisha michango wajenge kanisa...bas ikaandaliwa sherehe na mm siku hiyi nikaalikwa nikaenda...yaan siwez sema ni ushamba ila michqngo inachangishwa kwa njia chafu balaa..
Anachaguliwa mwanamke mwenye msambwanda...iwe ameolewa au hajaolewa poa tu....anawekewa mziki....anaanza kata mauno..kwahy men anayetaka kumshika kiuno lazima atoe hela ndefu...imagine...au anachukuliwa mke wa mtu na mume wa mtu anasema leo wangari hatarudi hom kwa mumewe had nipewe laki 5..bas hapo zitachangwa laki 5 ! Mie sion upako kabisa jamani...aibu mno...wanaume wanabambia tu wanawake kisa eti wamelewa...niliudhika
 
Tena msilewe kwa pombe ambamo humo mna ufisadi. Bali mjazwe na Roho Myakatifu

IMG_6269.jpg
 
Nilijua nitakupata kwenye mada hii shangazi yangu 😁!.
Mie sina imani hiyoo...lakini akilini kwangu sda is the best ..sina imani ya kuhamisha mlima lakini wasabato ni superb!ingawa wana mapungufu yao ila ni bora
 
Kuna siku walikua wanachangisha michango wajenge kanisa...bas ikaandaliwa sherehe na mm siku hiyi nikaalikwa nikaenda...yaan siwez sema ni ushamba ila michqngo inachangishwa kwa njia chafu balaa..
Anachaguliwa mwanamke mwenye msambwanda...iwe ameolewa au hajaolewa poa tu....anawekewa mziki....anaanza kata mauno..kwahy men anayetaka kumshika kiuno lazima atoe hela ndefu...imagine...au anachukuliwa mke wa mtu na mume wa mtu anasema leo wangari hatarudi hom kwa mumewe had nipewe laki 5..bas hapo zitachangwa laki 5 ! Mie sion upako kabisa jamani...aibu mno...wanaume wanabambia tu wanawake kisa eti wamelewa...niliudhika
Hao ni satanic believers
 
Ambayo ipoje?
Kwanza kabisa, zaka ya mali Kiislam ni ile mali iliyokaa kama akiba, bila kutumika kwa mwaka mzima, hiyo ndio unaitolea zaka ambayo ni asilimia mbili na nusu tu.

Na makundi yalioainishwa kupokea zaka. Si muhimu kupeleka msikitini na haupaswi msikiti kuulizia zaka.
 
Back
Top Bottom