Naamin 75% ya wakristu huwa hawaelewi juu ya hii kauli alimaanisha Yesu alikuwa akimaanisha nini. Ndio maana wengi wanaopenda kuitumia huwa wanaishia mstari wa 18 au 19Mt 16:18 SUV
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu!
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Unadhania wote wanajua kitu flan ni dhambi? Uamin kwenye kila wanachoambiwa na padri na kiongozi mkuu wa kanisa pasipo kukichunguza ndio maana leo hii papa anauwezo wa kubadirisha sala ya "baba yetu" na asiojiweMnawezaje kuishinda dhambi?
Nenda gwaji boy churchKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Nimekwenda mara moja tu, ila kwa mtazamo wangu ni moja kati ya makanisa bora na wanasimamia kwenye vifungu vya biblia vilivyo sio hawa wasoma biblia kama magazeti..Ngoja niulizie vipi vigezo hivyo wanavyo
Hawa jamaa si ndio wanasema kuna mungu mama na mungu baba?Kuna kanisa wanaita church of Christ. Litafute utanishukuru.
SioHawa jamaa si ndio wanasema kuna mungu mama na mungu baba?
Usipende kuweka mkataba na kifo mpagani weweKanisa Catholic nalipenda ndo litanizika kwakweli
Hiki kigezo ni kwere11.lisiwe na wale wanawake wenye stress za kuolewa
Ndo ivo sasa we uliye na dini baki na imani yako wachana na mimi mpagani kwani unahisi na upagani wangu kuna chochote unachonizidi au ni hayo tu? Ata nifie majini nikose wa kunizika Ila ntakufa nikiwa nasali Roman Catholic ndugu ama hutakiUsipende kuweka mkataba na kifo mpagani wewe
Ndege ya Malyasia ilipotea na watu hadi leo walikofia hawajulikani
Kuna mabasi huungua moto yakateketeza watu hata usijue sura ya nani ni nani
MV BUKOBA watu kibao walikula viapo kama vyako lakini miili yao haikupatikana wala kutambuliwa mingine
Wewe omba Mungu tu akuonyeshe usali wapi atakuonyesha kwa kukuangazia ajuavyo yeye iwe kwa ndoto au chochote
USIWEKE NADHIRI YA NANI ATAKUZIKA AU NANI ASIKANYAGE MSIBA WAKO KWANI HUJUI KIFO KITAKKUKUTA WAPI NA KAMA MWILI WAKO UTAPATIKANA AU LA!!!
HATA JINA LA KANISA LAKO HULIJUI HAKUNA KANISA TANZANIA LINAITWA ROMAN CATHOLIC LIKO LINALOITWA KATOLIKINdo ivo sasa we uliye na dini baki na imani yako wachana na mimi mpagani kwani unahisi na upagani wangu kuna chochote unachonizidi au ni hayo tu? Ata nifie majini nikose wa kunizika Ila ntakufa nikiwa nasali Roman Catholic ndugu ama hutaki
Tena msilewe kwa pombe ambamo humo mna ufisadi. Bali mjazwe na Roho MyakatifuKanisa ni moja, takatifu, katoliki na ni la mitume!
Karibu kitimoto hapa, tushushie na bia mbili!
Nipo na mafather baada ya kumaliza shughuli za parokia!
Mkuu karibu sana pale Jesus derivarance church linapatikana mabibo mwisho liko nyuma ya reli inayoelekea tabata ya train za mwakyembe, jaribu kuhudhuria ibada mojawapo jumapili moja, utakuja kunipa mrejeshoKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Pole sana na sio Tanzania dhehebu langu linaitwa Roman Catholic (RC) umevamia dini unataka kufundisha ata usivyovijua si ndio unaniattack utafikiri apo umekaa na yesu pembeni khaaa uliza gugo wakwambieHATA JINA LA KANISA LAKO HULIJUI HAKUNA KANISA TANZANIA LINAITWA ROMAN CATHOLIC LIKO LINALOITWA KATOLIKI
Bila kuwa na team work 'spirit' lisinge tawala duniaLakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini
Watafute hutojuta, tembelea www.jw.org select kiswahili language then enjoy utajifunza mengiAsante kwa ushauri, vipi wapo kila wilaya?