Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

[emoji120][emoji120][emoji120]
images%20-%202021-11-28T132515.862.jpg
 
kanisa Kama Hilo ,lilikuwepo miaka ya 90's na kurudi nyuma,sikuhz ni uhuni mtupu!!
 
Niliwahi kuhudhuria kanisa fulani siku ya ijumaa kuu nilikoma

✔Hakuna ratiba yoyote mtafuata kile mchungaji anasema
5
✔ Ngoma na mapambio kama kawaida siku ya kumbukumbu ya kifo wao wanaimba nyimbo za furaha hata za kuzaliwa

✔Watu wamekuja na mavuvuzela kelele. ni balaa

✔Mchungaji anaongea kwa sauti ya juu tena ya kukoroma.basi ni fujo tupu. Nilikoma.sirudii.tena bora nisali mwenyewe chumbani nikikosa sehemu hakuna
kanisa nililozoea
 
Mimi ni Mkatoliki lakini ikitokea nikahamia dhehebu jingine basi itakuwa Mashahidi wa Jehova.
Nakusihi jiunge na kanisa moja wapo kati ya haya mawili.
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Karibu Tanzania Assemblies of God,

Utakua mahali salama.

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kuhudhuria kanisa fulani siku ya ijumaa kuu nilikoma

✔Hakuna ratiba yoyote mtafuata kile mchungaji anasema
5
✔ Ngoma na mapambio kama kawaida siku ya kumbukumbu ya kifo wao wanaimba nyimbo za furaha hata za kuzaliwa

✔Watu wamekuja na mavuvuzela kelele. ni balaa

✔Mchungaji anaongea kwa sauti ya juu tena ya kukoroma.basi ni fujo tupu. Nilikoma.sirudii.tena bora nisali mwenyewe chumbani nikikosa sehemu hakuna
kanisa nililozoea
Sio KILA kanisa ni la kuingia mengine ni mahekalu ya shetani
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Acha kutochosha wewe kasali kokote
 
Mwaka Jana nilihamia kkkt kumfuata mwanaume, sijutii kabisa ukiingia kanisani unauhisi uweponi wa Mungu sio nilikotoka unaenda kusali kama onyesho tu na kutembea,

Udhaifu wa kkkt michango mingi mno ila nachangia palipo na ulazima tu mingine isiyo na mantiki nakauka km sio mie,, yote kwa yote nabarikiwa sana tangu niingie pande hii Yani, Nina furaha na amani ya kweli,
 
Mwaka Jana nilihamia kkkt kumfuata mwanaume, sijutii kabisa ukiingia kanisani unauhisi uweponi wa Mungu sio nilikotoka unaenda kusali kama onyesho tu na kutembea,

Udhaifu wa kkkt michango mingi mno ila nachangia palipo na ulazima tu mingine isiyo na mantiki nakauka km sio mie,, yote kwa yote nabarikiwa sana tangu niingie pande hii Yani, Nina furaha na amani ya kweli,
Wana kkkt tunakukaribisha sana kipenzi we changia ambayo Mungu amekugusa uchangie ila kiukweli kkkt tuna michango sana bado haujaingia jumuiya hapo
 
Wana kkkt tunakukaribisha sana kipenzi we changia ambayo Mungu amekugusa uchangie ila kiukweli kkkt tuna michango sana bado haujaingia jumuiya hapo
Asanteni Sana,, kwa huduma za kiroho mko vizuri mno, unamuita Mungu na anaitika, mfumo wa kiuongozi pia mko Safi, kwenye michango ndo patashika, all in all faida za kkkt kwangu Mimi Ni nyingi
 
Asanteni Sana,, kwa huduma za kiroho mko vizuri mno, unamuita Mungu na anaitika, mfumo wa kiuongozi pia mko Safi, kwenye michango ndo patashika, all in all faida za kkkt kwangu Mimi Ni nyingi
Msalimie malalusa
 
Shida ya katoliki haina mafunzo ya kutosha yanayoweza kukujenga kiimani. Labda ujiunge charismatic
 
Back
Top Bottom