maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,874
Kabisaaa mkuuuTena bora zaman sasa hivi ndo umbeya mtupu had I kwenye jumuiya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa mkuuuTena bora zaman sasa hivi ndo umbeya mtupu had I kwenye jumuiya
SawaAnzia hapa .
www.jw.org/sw
1. liwe kanisa la kikristu (hapo unaonekana mkatoliki, kanisa lililokufa limebaki mifupa tu,okokeni mmwone Mungu maishani mwenu).Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
and go to hell catholic. trust me, usipobadilika, moto unakusubiri.[emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2026097
but they know deep in their hearts that their denomination (catholic) does not help them spiritually to know God. they are drunkards just like any other, priests and nuns know what they always do in the missions, they visit witch doctors just like any other and they teach no truth of the Bible but truth of their religion.[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1791855
Kwa kusaidia tu japo sio kwa umuhimu kuna makanisa mengi tu yanaongozwa na vichaa kuna moja wapo linatoa hadi dressing codes mara unasikia jpili ijayo ni old school sunday[emoji23][emoji23]Fafanua kidogo mkuu
kanisa pekee ninalojua kuwa ni la vichaa na machizi, ni kanisa la pool of siloam, wale wanaoamini kuwa Munuo aliyeanzisha kanisa ni mungu, wanaamin Damu ya Yesu na Jina la Yesu vimepungua nguvu hivyo hawaombi kwa Jina la Yesu wala Damu ya Yesu. pia, Munuo aliwafundisha kuwa yeye kwa maombi yake alishamuua shetani, ajabu yake hadi leo shetani bado mzima na anaendelea kudanganya walimwengu. kuna watu wanamwamini huyu mchaga huwaambii kitu. alikufa kwa tetenasi wakaweka mochwari siku tatu wakiamini atafufuka walipoona ananuka wakaenda kuzika kule njia ya bagamoyo, wanapozika wakatangaza kuwa wamemwona anapaa. wanavaa manguo meupe utafikiri misukure. hawa peke yao ndio machizi na nikiwaangalia uwa nawaonea hurma sana. mpo wazee wa mbezi makonde?Kwa kusaidia tu japo sio kwa umuhimu kuna makanisa mengi tu yanaongozwa na vichaa kuna moja wapo linatoa hadi dressing codes mara unasikia jpili ijayo ni old school sunday[emoji23][emoji23]
UNAKUBALI NA KUKATAA!1. liwe kanisa la kikristu (hapo unaonekana mkatoliki, kanisa lililokufa limebaki mifupa tu,okokeni mmwone Mungu maishani mwenu).
2. Mfumo wa kitaasisi (hiyo sio garantii kwamba ni kanisa sahihi).
3. kila mkoa/wilaya (hiyo sio garantii kwamba ni kanisa sahihi).
4. teamwork na kusaidiana/kubaguana etc (hakuna kanisa kama hilo siku hizi, popote utakapoenda treatment ya watu inatofautiana na kipato chako, elimu, michango kwa church, wadhifa n.k. hii ni kwasababu, kikawaida mtu anayestahili heshima, mpe heshima yake hata atakapokuja church. hatutegemei Mkuu wa Jeshi Mabeyo aje church halafu tumkalishe au tumchukulie kikawaida kama tunavyokuchukulia wewe, ana hadhi yake hata kama pale church sote tupo sawa. usipompa heshima yake nalo ni kosa. sisemi kuwa ni kosa na sisemi uwa ni sahihi.
5. kutegemea uwepo wa mchungaji (najua hapa unamsema kakobe, au wengine. kila kanisa linategemeana na nani amelianzisha na aliyeanzisha ametoka vipi na Mungu, sio kila jumuiya ya kikanisa itakusaidia umwone Mungu, wengine hata kama unawaona wakuda na hauwaelewi Mungu anawatumia na wangeweza kukusaidia).
6. kanisa lenye ratiba maalumu (hapo utayapata makanisa ya shetani au ya mafarisayo tu ambayo yanampangia Mungu ratiba. kanisa halisi ni Mali ya Roho Mtakatifu ndio analiongoza, kama Roho Mtakatifu atataka muendelee na ibada masaa sita au kumi, mtaendelea, kama atataka muendelee lisaa limoja mtamsikiliza. huwezi kumpangia Mungu masaa. ni sawa na mtu aliyeenda kuchimba dhahabu akakuta dhahabu inatema mno, lakini akajiwekea masharti kuwa hata kama dhahabu inapatikana ikifika saa fulani naondoka. unajuaje muda ule unapoondoka ndio kisima cha baraka/mafuta ya Mungu kitatibuka? naongea na watu wanaomjua Mungu tu hapa, wengine hamtanielewa. makanisa yote yenye ratiba za kumpangia Mungu, ni ya kifarisayo na kidini, na hayamsaidii muumini kumjua au kumwona Mungu katika maisha yake.
7. kanisa linalojali malezi ya watoto (hapo nakubaliana na wewe, ndio kazi mojawapo ya kanisa hiyo).
8. kanisa la watu wenye akili timamu (hapo hujui unaongea nini, hao unaowadharau na kuwaona hawana akili timamu yawezekana ndio waliokuzidi hata wewe akili. siku ya pentecost watu wengi walishangaa mitume wanaponena kwa lugha, wengine wakasema wamechanganyikiwa, wengine wakasema wamelewa, hadi Petro aliposimama na kuwaelewesha. ndivyo mlivyo mafarisayo wa siku hizi, watu wanapobubujika na kukutana na Mungu, mnasema hawana akili timamu, kumbe hamjijui kuwa ninyi ndio msio na akili. Yesu aliwaita watu kama ninyi kuwa ni makaburi yaliyopakwa rangi kwa nje ila ndani yamejaa mifupa mitupu tena inayonuka (emphasis added).
9. kanisa linalopenda haki na usawa. sijui una maanisha nini kwa kusema hivyo. kanisani tunaenda kumwabudu Mungu, ni haki gani unaenda kutafuta kanisani? au katiba mpya?
10. namba kumi nakubaliana na wewe.
Wanaunga mkono IsraelSidhani kama kuna kanisa la aina hii duniani hapa, makanisa mengi suala la haki sijui kuangalia haki za binadamu hakuna. Ndio maana wametulia kuhusu mgogoro kati ya Israel na Parestina
Naimba nikupinge kwa facts...sakrament ina vigezo vyake, kwa mfano huwezi kukomunika km hujapata sakrament ya ekaristi.huo misaada wa kijamii utasaidiwa kwa kuanzia ngazi ya jumuiya ndogondogo.hiyo ndio maana ya taasisiLinabagua Na kutenga waumini kwa migongo ya sacrament, Halitoi huduma kwa baadhi ya watu pasipo kuwasaidia watoke waliko, halibatizi watoto hadi maoni ya jumuiya, Halina umoja wakati wa matatizo