Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Ikiwa hutajari naomba ni connect na mtu wa huko. AAhsante
Huna haja ya kumtafuta dalali bila kuwa na mwenyeji utapigwa za kichwa,
Nenda mzenga zegelo ofisi za mwenyekiti mtaa,,
Eleza shida zako,,
Nitakupa namba za mwenyeji pm,,mweleze shida zako na makubaliano yafanyike Kwa mtendaji wa kijiji.
Nimenunuwa heka 2 huko na ni barabarani na umeme upo ..
Hakuna longolongo Wala utapeli.
Hayo maeneo baadae itakuwa very hot cake.
Njia ya mlandizi-kisarawe itajengwa kiwango Cha lami na Kuna miradi mingi ya serikali njia hyo.
 
Huna haja ya kumtafuta dalali bila kuwa na mwenyeji utapigwa za kichwa,
Nenda mzenga zegelo ofisi za mwenyekiti mtaa,,
Eleza shida zako,,
Nitakupa namba za mwenyeji pm,,mweleze shida zako na makubaliano yafanyike Kwa mtendaji wa kijiji.
Nimenunuwa heka 2 huko na ni barabarani na umeme upo ..
Hakuna longolongo Wala utapeli.
Hayo maeneo baadae itakuwa very hot cake.
Njia ya mlandizi-kisarawe itajengwa kiwango Cha lami na Kuna miradi mingi ya serikali njia hyo.
Mkuu mwandende upo? Wife kaleta house girl mpya ni msumbufu sana, nimetumia mbinu ya kunyatia usiku nimegonga mwamba aisee.
 
Karibu nachingwea ardhi ipo ,Kuna mazo matatu makuu na yote ni Hela tupu
1.Ufuta .huu huvunwa kati ya mwezi wa nne hadi sita,ni Hela tupu
2.Mbaazi hizi huvunwa kati ya mwezi wa sita hadi nane,hii ni Hela nyingine na gharama za uzalishaji ni ndogo mno
3.Korosho.Hili ndiyo zao mama .nadhani hii ni Hela kila mtu anajua.utaanza kuvuna baada ya miaka mitatu,karibu
Nachingwea kuna nyoka wengi sana, hilo ni tatizo.
 
Mkuu mwandende upo? Wife kaleta house girl mpya ni msumbufu sana, nimetumia mbinu ya kunyatia usiku nimegonga mwamba aisee.
Nipo mkuu ,,sasa nakushauri tumia mbinu hii ya kumpan zawadi Kwa Siri na kumpa pesa kusaidia wazee wake kijijini..

Hiyo usipomla basi naitupa simu yangu baharini..
🤣🤣🤣
Hyo mbinu ni ktk zile mbinu 5 kali sana .
 
Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Ardhi ya laki 2 au 5 hakuna. Njoo hapa chekereni ya moshi vijijini nikuuzie ekari 5 kwa 5m.
Maji yapo, shamba linalimwa, linastawi kila kitu
 
Back
Top Bottom