Anayefahamu kiufundi sababu za kocha kumtoa Mpanzu leo wakati bado anaupiga mwingi aniambie

Anayefahamu kiufundi sababu za kocha kumtoa Mpanzu leo wakati bado anaupiga mwingi aniambie

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Elie Mpanzu ndio kwanza leo ameanza kuitumikia rasmi Simba, alitakiwa acheze dakika zote 90 kWa sababu hana match fitness.

Lakini huyu jamaa yetu Fahdu ambaye mimi namuona kabisa anabahatisha dakika 58 tu anamuita nje.

Isitoshe akaendelea kufanya sub za kuwaingiza Mzamiru, Kagoma, Mutale na Kijiri.

Ni kwa vile tu tumeshinda na Kagera wa mwaka huu wabovu sana lkn upangaji wa timu na sub haufanyiki kitaalamu.

Mpanzu anatakiwa acheze dakika zote 90 ili awe fiti kama wenzake.
Jiangalie sana Fahdu, ukiteleza kidogo tu Yanga akakaa juu imekula kwetu
 
Elie Mpanzu ndio kwanza leo ameanza kuitumikia rasmi Simba, alitakiwa acheze dakika zote 90 kWa sababu hana match fitness.

Lakini huyu jamaa yetu Fahdu ambaye mimi namuona kabisa anabahatisha dakika 58 tu anamuita nje.

Isitoshe akaendelea kufanya sub za kuwaingiza Mzamiru, Kagoma, Mutale na Kijiri.

Ni kwa vile tu tumeshinda na Kagera wa mwaka huu wabovu sana lkn upangaji wa timu na sub haufanyiki kitaalamu.

Mpanzu anatakiwa acheze dakika zote 90 ili awe fiti kama wenzake.
Jiangalie sana Fahdu, ukiteleza kidogo tu Yanga akakaa juu imekula kwetu
Alishawaona Kagera wameingia kwenye mfumo..
 
Ushausoma mchezo una hakika ya matokeo chanya, Unamtoa kwaajili ya akiba ya michezo ya mbeleni
 
Hujui sababu alafu unalalamika.ulitakiwa hujue sababu ili uzione je zina mashiko au hazina.maana kocha ndiye anayejua na ndo mwenye maamuzi kulingana na anavyoona.
 
Elie Mpanzu ndio kwanza leo ameanza kuitumikia rasmi Simba, alitakiwa acheze dakika zote 90 kWa sababu hana match fitness.

Lakini huyu jamaa yetu Fahdu ambaye mimi namuona kabisa anabahatisha dakika 58 tu anamuita nje.

Isitoshe akaendelea kufanya sub za kuwaingiza Mzamiru, Kagoma, Mutale na Kijiri.

Ni kwa vile tu tumeshinda na Kagera wa mwaka huu wabovu sana lkn upangaji wa timu na sub haufanyiki kitaalamu.

Mpanzu anatakiwa acheze dakika zote 90 ili awe fiti kama wenzake.
Jiangalie sana Fahdu, ukiteleza kidogo tu Yanga akakaa juu imekula kwetu
Aliupiga mwingi!
Lete takwimu zake hapa na siyo blaa blaa!
 
Hakuna anayefahamu Sababu...!

Mpanzu Kama Mpanzu Kachangia ushindi wa Bao 5 tumefurahi... ni Zawadi kwa Wana Simba Ya Krismasi..!

Mwenzetu una Leseni Ya Ukocha?

Leseni Yako ni Class gani ? Ni A...au B..? Maana hizi challenges Kama za Mtu kasomea Ukocha vile?
 
Aliupiga mwingi!
Lete takwimu zake hapa na siyo blaa blaa!
Kama uliangalia mpira kwa jicho la chuki na wivu huwezi kuona kama kaupiga mwingi maana kila goli la Simba likiingia ulikuwa unaangalia kama hakutoa assisst au kufunga kisha unafurahi kwa kuwa siye
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Elie Mpanzu ndio kwanza leo ameanza kuitumikia rasmi Simba, alitakiwa acheze dakika zote 90 kWa sababu hana match fitness.

Lakini huyu jamaa yetu Fahdu ambaye mimi namuona kabisa anabahatisha dakika 58 tu anamuita nje.

Isitoshe akaendelea kufanya sub za kuwaingiza Mzamiru, Kagoma, Mutale na Kijiri.

Ni kwa vile tu tumeshinda na Kagera wa mwaka huu wabovu sana lkn upangaji wa timu na sub haufanyiki kitaalamu.

Mpanzu anatakiwa acheze dakika zote 90 ili awe fiti kama wenzake.
Jiangalie sana Fahdu, ukiteleza kidogo tu Yanga akakaa juu imekula kwetu
Weee
Elie Mpanzu ndio kwanza leo ameanza kuitumikia rasmi Simba, alitakiwa acheze dakika zote 90 kWa sababu hana match fitness.

Lakini huyu jamaa yetu Fahdu ambaye mimi namuona kabisa anabahatisha dakika 58 tu anamuita nje.

Isitoshe akaendelea kufanya sub za kuwaingiza Mzamiru, Kagoma, Mutale na Kijiri.

Ni kwa vile tu tumeshinda na Kagera wa mwaka huu wabovu sana lkn upangaji wa timu na sub haufanyiki kitaalamu.

Mpanzu anatakiwa acheze dakika zote 90 ili awe fiti kama wenzake.
Jiangalie sana Fahdu, ukiteleza kidogo tu Yanga akakaa juu imekula kwetu
Kati ya kocha na wewe Nani mjinga?
 
Mpanzu nafikiri alitolewa ili kumlinda na faulu waliokuwa wanafanya utopolo B na hapo matokeo yalishapatikana. Ila sub za Kijili na Mzamiru sikuzielewa.
Ndio maana wewe sio kocha.
Halafu muache ujuaji,ina maana wachezaji wengine wasicheze hata kama mechi tunaonekana tumeshinda?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Elie Mpanzu ndio kwanza leo ameanza kuitumikia rasmi Simba, alitakiwa acheze dakika zote 90 kWa sababu hana match fitness.

Lakini huyu jamaa yetu Fahdu ambaye mimi namuona kabisa anabahatisha dakika 58 tu anamuita nje.

Isitoshe akaendelea kufanya sub za kuwaingiza Mzamiru, Kagoma, Mutale na Kijiri.

Ni kwa vile tu tumeshinda na Kagera wa mwaka huu wabovu sana lkn upangaji wa timu na sub haufanyiki kitaalamu.

Mpanzu anatakiwa acheze dakika zote 90 ili awe fiti kama wenzake.
Jiangalie sana Fahdu, ukiteleza kidogo tu Yanga akakaa juu imekula kwetu
Simba Ina mechi nyingi sana mfululizo..pia Ina kikosi kipana sana..kwahiyo kocha anafanya hivyo kutunza nguvu na stamina ya wachezaji kwa mechi zijazo.
 
Back
Top Bottom