Anayefahamu sifa za mabinti wa Kinyaturu

Anayefahamu sifa za mabinti wa Kinyaturu

Status
Not open for further replies.
wanyaturu wamegawanyika wa singida kusini kwakweli hawa ni wamachame na wengi wao ni waislam but singida kaskazini ni wastaarabu sana na wanafanya kazi mno halafu kuhusu kukeketwa kama wengine wanavyo comment hizo zilikua tamaduni za huko miaka ya nyuma huwezi kumhukumu mtu kwa kitu alichofanya mzazi wake halafu wewe ushikilie ndio fimbo ya kumchapia cha mhimu angalia sifa za mchumba wako kama unaona atakufaa oa kama unaona hatakufaa mwache aende
 
Wadau kama kichwa cha habari hapo juu mimi niko single japo umri umesonga kidogo katika pitapita zangu zangu nimekutana na wanawake wengi tu ila nimetokea kuelewa mda mmoja wa kinyaturu ila ukweli siwafahamu sana kiundani naombeni ushauri tu kwa atakaye guswa kutoa ushauri please
 
Nimekaa singida kwa miaka miaka miwili.

Uzoefu wangu:

Kwa mikoa yote niliyoishi ikiwemo mkoa wangu ambao nimezaliwa sijawahi ona watu wakalimu kama wanyaturu.

Walinifanyia wema ambao mpaka leo siwezi sahau.

Upande wa pili: mademu wa kinyaturu ni wazuri sana ila kiukweli ni chap kwaa unakula mzigo hii nime prove mwenyewe.
 
Ebhana mimi nimewahi kua na Mrangi na Mnyiramba nyakati tofauti , ni jamii hiyo hiyo ya kinyaturu(wanatoka sehemu moja).Nikaapa sirudii tena labda kupiga na kusepa.

Japo sio wote wana shida ila nilichogundua hao wanawezana wenyewe kwa wenyewe..maana usishangae siku unarudi unamkuta njemba limekaa na mkeo kwako kifua wazi afu akakuambia ni Mjomba.
 
Wadau kama kichwa cha habari hapo juu mimi niko single japo umri umesonga kidogo katika pitapita zangu zangu nimekutana na wanawake wengi tu ila nimetokea kuelewa mda mmoja wa kinyaturu ila ukweli siwafahamu sana kiundani naombeni ushauri tu kwa atakaye guswa kutoa ushauri please
Weupeeee, wazuri papuchi zao wengi ni kavu kama mji wao🤣🤣 ni rahisi sana kuchapiwa
 
Wadau kama kichwa cha habari hapo juu mimi niko single japo umri umesonga kidogo katika pitapita zangu zangu nimekutana na wanawake wengi tu ila nimetokea kuelewa mda mmoja wa kinyaturu ila ukweli siwafahamu sana kiundani naombeni ushauri tu kwa atakaye guswa kutoa ushauri please
1. Wanagawa pipi bila kipingamizi

2. Wakarimu sana,hawana baya na mtu

3. Rejea namba 1
 
Wadau kama kichwa cha habari hapo juu mimi niko single japo umri umesonga kidogo katika pitapita zangu zangu nimekutana na wanawake wengi tu ila nimetokea kuelewa mda mmoja wa kinyaturu ila ukweli siwafahamu sana kiundani naombeni ushauri tu kwa atakaye guswa kutoa ushauri please
Tafuta mke mgibe kama wewe sio myaturu achana nae kabisa, acha hisia za kike, unatafuta shida mimi nanae moja na mgine nilimfukuza tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom