Anayefahamu sifa za mabinti wa Kinyaturu

Anayefahamu sifa za mabinti wa Kinyaturu

Status
Not open for further replies.
kuna mmoja nilikuwa nae alikuwa anaitwa sheila,vituko alivyokuwa ananifanyia,mungu ndo anayejua,na nilimpenda sana,akawa ndo anatumia kuniumiza,alaf kama wana majini vile,vituko vyote vile,lakn mpaka leo bhado nampenda japo,tumeachana,alimpata mjanja mmoja,akamtorosha akawa ana kaa nae,mara nikasikia wameachana amerud kwao singida,hawafai hao,ila ni wazur,warefu,weupe,waongeaji sana,anapenda akutawale,kuna wakat uwa wanapenda kweli,ila akikuchoka utajuta,hayo ndo niliyaona kwa sheila,mengine siri yangu,

Yupo wap sheila wangu,mtoto mkarimu sana huyu

umenikumbusha mbali sana mkuu
 
Dah.....hii sasa too much kwa Dada zetu jamani.

Kweli kila baya ni wao tu.?
 
Dah.....hii sasa too much kwa Dada zetu jamani.

Kweli kila baya ni wao tu.?
Umalaya n hulka ya mtu nachukia Sana MTU anapogeneralize kabila fulan kisa aliyetendwa na dem wake
 
Unatakiwa uwe na nguvu za kiume hasaaa
Ila ni wasikivu
 
Umalaya n hulka ya mtu nachukia Sana MTU anapogeneralize kabila fulan kisa aliyetendwa na dem wake
Well said mkuu.

Mimi nipo mkoa flani lakini sioni tofauti ya tabia hizo zilizotajwa na huku nilipo ila siwezi nika-husisha tabia hizi na kabila maana sio wote wapo hivyo.

[HASHTAG]#mtasema[/HASHTAG] wote wanaojiuza ni wa hili kabila....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Well said mkuu.

Mimi nipo mkoa flani lakini sioni tofauti ya tabia hizo zilizotajwa na huku nilipo ila siwezi nika-husisha tabia hizi na kabila maana sio wote wapo hivyo.

[HASHTAG]#mtasema[/HASHTAG] wote wanaojiuza ni wa hili kabila....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkoa gani huo mkuu
 
Usioe mnyaturu utalia. Ingawa kama umezaliwa na kipaji cha upelelezi unaweza kuchunguza ukampata aliyeshika dini miongoni mwao. Mi nawafahamu kiundani sana, siku ya kwanza atakupa papuchi kwa mbine lakini baada ya hapo mwendo mdundo.
 
wanaakili nyingi angalie wasiwewanakuzidi,hawapendi dharau,na wapole na waungwana ukiwaheshimu,ukichipuka akajua umeharibu maisha yako ya ndoa.wazuri na pia huwa hawatetereki ukiwaachia nyumba yaani wao wanafaa kuwa wasimamizi kwa sababu ni wafuatiliaji.Mwisho muulize kwao ufike kabla ya kumuoa.ila wa kaskazini aka wairhwana hao wanaadabu na tabia njema ila kama wa kusini aka wahi kuwa makini
 
My byother! Jitahidi kufungua bucha wanapenda nyama kama simba ukinunua kilo ujue nusu inaishia jikoni, njoo kwenye mapenzi ni zaidi ya mama huruma wanagawia kila mtu anaehitaji tena bule hivyo kama umependa jitahidi kujikaza pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo vinginevyo ukichukua uamzi kama tunaochukuaga sie bangosha basi jela panakuhusu,

Jambo jingine wanapenda sana kumfanyia limbwata mwanaume ili wamtawale na hawataki ndugu wa mme waishi kwako ila wao tu.
 
Kuna makabila mengine ni makabila tasa kuoa kwayo ni kulazimisha tu mfano wahaya na wachaga hayo makabila yanawezana kwayo tu.
 
Ni wewe mwenyewe, ila kila kabila lina tatizo lake, ila nijuavyo mimi makabila mengi ya kanda ya kati, ni wepesi sana hawajui kukataa mwanamme. Hivyo ndio desturi yao kuhusu tabia zingine sijui.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom