Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

Ta Muganyizi

R I P
Joined
Oct 19, 2010
Posts
5,355
Reaction score
2,736
Habari Wadau

Yawezekana kabisa kuna watu siju hizi hawaangalii TBC 1. Lakini kuna ambao kila siku kuanzia saa 10 usiku tunaiangalia TBC 1 kutokana na shughuli tunzokuwa tunazifanya.

Muda woe huo kipindi cha mwaka mzima huwa zinapigwa nyimbo hizo hizo mpaka tumezikariri. Wimbo zinapigwa kila siku ni zile za Msondo ngoma.

1. Kaza roho, Ajali na Penye penzi hapakosi Tezi. Baadae inafuata Nakei Nairobi ya Mbilia Bel. Kisha unafuata wimbo wa Sina makosa nyimbo hizi ni mwaka mzima sasa.

Hivi nchi yote hii kuna wasanii hao hao tu au flash ya hizo nyimbo iliharibikia humo humo kwenye kompyuta. Fuatilieni muone. Labda watabadilika
 
Jilaumu mwenyewe kwa kuangalia hicho kituo cha wastaafu na watu waliopoteza ramani.
Usinichanganye huko.Mimi hapa ni mstaafu nina mwaka wa saba sasa, tbc tbc 1 channel 10 nimezifuta kabisa kwenye kingamuzi changu. HAZIPO, iko nyingine iko kwenye orodha ya kuifuta. Nimeiwekea PWD ili hata mama watoto asijisahau akaingia huko. Wewe mjanja umeshaigundua. Natumia kingamuzi cha AZAM.
 
Habari Wadau

Yawezekana kabisa kuna watu siju hizi hawaangalii TBC 1. Lakini kuna ambao kila siku kuanzia saa 10 usiku tunaiangalia TBC 1 kutokana na shughuli tunzokuwa tunazifanya.

Muda woe huo kipindi cha mwaka mzima huwa zinapigwa nyimbo hizo hizo mpaka tumezikariri. Wimbo zinapigwa kila siku ni zile za Msondo ngoma..1. Kaza roho, Ajali na Penye penzi hapakosi Tezi. Baadae inafuata Nakei Nairobi ya Mbilia Bel. Kisha unafuata wimbo wa Sina makosa......nyimbo hizi ni mwaka mzima sasa.

Hivi nchi yote hii kuna wasanii hao hao tu au flash ya hizo nyimbo iliharibikia humo humo kwenye kompyuta. Fuatilieni muone. Labda watabadilika

Ilo ni tatizo la kitambo sana nakumbuka miaka ile 2007plus walikua wamapigs tu za best naso Yan Chanel ya kipuuzisana ona watu wa hovyo
 
Kipindi kile ule wimbo wa Nyegezi umefungiwa kuna siku nipo zangu kijijini muda kama saa 9 au kumi usiku usingizi ukakata. Nikawasha karedio mara nasikia wimbo wa Nyegezi unapigwa na kituo kilikua TBC Taifa
 
Habari Wadau

Yawezekana kabisa kuna watu siju hizi hawaangalii TBC 1. Lakini kuna ambao kila siku kuanzia saa 10 usiku tunaiangalia TBC 1 kutokana na shughuli tunzokuwa tunazifanya.

Muda woe huo kipindi cha mwaka mzima huwa zinapigwa nyimbo hizo hizo mpaka tumezikariri. Wimbo zinapigwa kila siku ni zile za Msondo ngoma..1. Kaza roho, Ajali na Penye penzi hapakosi Tezi. Baadae inafuata Nakei Nairobi ya Mbilia Bel. Kisha unafuata wimbo wa Sina makosa......nyimbo hizi ni mwaka mzima sasa.

Hivi nchi yote hii kuna wasanii hao hao tu au flash ya hizo nyimbo iliharibikia humo humo kwenye kompyuta. Fuatilieni muone. Labda watabadilika
[emoji3]
 
Nlishauza dish na TV nlipoona vyombo vya habari vimepoteza mwelekeo, na kuacha kuripoti matukio halisi,na kuingiza propaganda zilizopangiliwa kuelekeza akili za watu kwenye mambo wanayotaka
 
Usinichanganye huko.Mimi hapa ni mstaafu nina mwaka wa saba sasa, tbc tbc 1 channel 10 nimezifuta kabisa kwenye kingamuzi changu.HAZIPO, iko nyingine iko kwenye orodha ya kuifuta.Nimeiwekea PWD ili hata mama watoto asijisahau akaingia huko.Wewe mjanja umeshaigundua.Natumia kingamuzi cha AZAM.
Ni ipi hiyo kiongozi tuanze mapema kuifutilia mbali kama siyo mawingu basi ni nyota hiyo
 
Kwa hiyo wazee wetu waliostaafu hawana tena uwezo wa kujua jema na baya..?! Maana nyingine hawana thamani??

Wewe jamaa hovyo kabisa!
Wewe endelea kutazama mapambio hapo
 
Back
Top Bottom