BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Na kila square meter dollar ......za kimarekani...si umalizie hapoINA FLOOR 14 KILA APARTMENT IN 130 SQUARE METER
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kila square meter dollar ......za kimarekani...si umalizie hapoINA FLOOR 14 KILA APARTMENT IN 130 SQUARE METER
ee bwana umemmaliza, ila kama hana aibu atakuja na povu hapa kweli jf ni bahariHuyu jamaa naona ni dalali uchwara, wenye jengo lao wamebandika bei zote kwenye website za RealEstate, sasa yeye naona ni wale wanaotaka kulazimisha umuone ili akupige "hela ya kuonyeshwa".
![]()
ingieni huku kila kitu kipo: Apartment for Sale at Ivory Tower Upanga
Hahaha,aisee hii kali,Bei haitajwi, kila mmoja anatajiwa bei yake kulingama na mwonekano atakao enda nao.
Kama haiwezekani kuweka bei hapa, basi tunaomba link ya website yenu tukangalizie huko. Bei ndio itanifanya nifunge safari kuja kufanya negotiations nanyi.Ukifika maelezo yote utapata karibu!
YOUR MOST WELCOME! BUT COULD YOU COME TO THE OFFICE PLEASE! SO THAT WE CAN DISCUSS ABOUT THE PRICE! THANK YOU!
Kama haiwezekani kuweka bei hapa, basi tunaomba link ya website yenu tukangalizie huko. Bei ndio itanifanya nifunge safari kuja kufanya negotiations nanyi.
Na kila square meter dollar ......za kimarekani...si umalizie hapo
size -158, location upanga -mfaume street karibu na sido or plot 993, Owner Group six internatinal contact 0659800800 au zilizopo hapo juuBei kaka
Size
Location
Description
Owner
Contact
Ungefuata huu utaratibu tungekuwa mbali mnafanya biashara zisizo na utaratibu ndo shida haya apartment kama hiyoo unategemea Mimi nilioko kimara ndo nije means utarget market kubwa sasa kila MTU akija ofisini kuuliza tu bei hauoni mnaluhusu Wateja kuja tu ofisini mladi muonekane mko bize ila Ku utilize time ni zero
Next time wambie mabosi wako waache mambo ya kichawi
asanteatakayekuja ofisini kazaliwa koromije
Madalali wa TZ vichwa vyao vimejaa kupiga madili tu....wasamehe bure tu!Duniani kote bei za nyumba uweka hadharani sijui why Watanzania atuna tabia hii. please weka bei
150 ,000 USDMkuu yahani mtu afunge safari kutoka huku mwanza kuja kuulizia bei???!!
150,000 USDWeka bei [HASHTAG]#weka[/HASHTAG] bei
Zanzibar Spices nicheki kwenye 0713-039875 ninahitaji viungo vya chakulaHahaha,aisee hii kali,
Ngoja niende na Yebo Yebo
Labda kwa kumsaidia jamaa,Kuna Apartment zinauzwa Dubai ila zimewekwa maelezo yote mpaka bei.Tena na Installment zake ili watu wanaoishi nje ya Dubai waweze kuwa na picha halisi
Huyu jamaa naona ni dalali uchwara, wenye jengo lao wamebandika bei zote kwenye website za RealEstate, sasa yeye naona ni wale wanaotaka kulazimisha umuone ili akupige "hela ya kuonyeshwa".
![]()
ingieni huku kila kitu kipo: Apartment for Sale at Ivory Tower Upanga
...fala kweli wewe!Bei ya chini ni 150,000 USD installment ni asilimia 50%
...fala kweli wewe!
..miezi miwili unadengua kuweka bei,
..ulikuona unaona raha kama watu wanataka kukutolea posa kigoli?
.mbaff!