House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538

KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Serious business itakulazimu kutaja ukubwa wa vyumba idadi floor na kadhalika. Mwenye interest ya kuona anakuwa na idea ya nini anaenda kuangalia.
 
Kaka acha biashara za mkoloni, hivi Watanzania tuna shida gani?, kwa nini tunashindwa kujua biashara za mitandaoni?, hakuna biashara ya Mtandaoni inayoficha bei, iwe Alibaba, au Qatar Air, Be foward nk kote uko unakuta bei, wewe unaficha nini?
Kwani hamna vipeperushi vyenye kuonyesha kila Apartment na bei zake?, ki scan hicho kipeperushi na ukiweke hapa

Biashara ya mitandaoni watu wanavutiwa na Picha na kisha bei

Apige picha,anataka kutapeli watu.
 
INA FLOOR 14 , SQUARE METER 130, INA LIFT, MAJI , UMEME STANDING BY GENERATOR
 

Attachments

  • 15935182_1241598652596782_2129157914_o.jpg
    15935182_1241598652596782_2129157914_o.jpg
    45.7 KB · Views: 58
  • 15935117_1241598679263446_1817488689_o.jpg
    15935117_1241598679263446_1817488689_o.jpg
    57.2 KB · Views: 61
  • 15935505_1241598339263480_1416464224_o.jpg
    15935505_1241598339263480_1416464224_o.jpg
    44.7 KB · Views: 54
  • 15966883_1241598295930151_2133903174_o.jpg
    15966883_1241598295930151_2133903174_o.jpg
    45.8 KB · Views: 60
Watu wanauliza bei ya kununua apartment UPANGA Mbona bei zinajulikana hiyo apartment kwa uchache wa BEI inaweza kuanzia DOLA LAKI NA NUSU AU ZAID$150,000 .

Ukweli ni zawatu matajiri tu hakuna middle class anayeweza kuafford hapo otherwise.... wawe vibossile wa serikal ndio wenye uwezo wa kununua hapo.
 
Duniani kote bei za nyumba uweka hadharani sijui why Watanzania atuna tabia hii. please weka bei

Ukiona hivyo Mkuu ujue kuna udalali hapo. Waache maneno waweke bei ndo mpango!
 
Km hamuko tayari kuweka bei ,next time usiweke matangazo yk huku peleka KUPATANA ndio panapokufaa ww
 
YOUR MOST WELCOME! BUT COULD YOU COME TO THE OFFICE PLEASE! SO THAT WE CAN DISCUSS ABOUT THE PRICE! THANK YOU!
We ni mwizi au dalali? Unafanya biashara usiyojua? Unataka mtu aje umroge kwanza ndo useme bei ili asikatae?

Acha longo longo sema bei kama kweli upo Serious, mi nipo kigali nipande gari kuja Dar kuona apartment? Fool
 
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538

KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Tangazo bovu kabisa hili.
So hujui idadi ya vyumba from each apartment?
Na hujui zinaanzia floor ya ngapi mpaka ya ngapi?
Hujui starting price?
Ebu acha uboya,weka tangazo lake veme ili kupunguza idadi ya maswali wewe!!!!
 
Km hamuko tayari kuweka bei ,next time usiweke matangazo yk huku peleka KUPATANA ndio panapokufaa ww
We ni mwizi au dalali? Unafanya biashara usiyojua? Unataka mtu aje umroge kwanza ndo useme bei ili asikatae?

Acha longo longo sema bei kama kweli upo Serious, mi nipo kigali nipande gari kuja Dar kuona apartment? Fool
THANK YOU
 
Kwahiyo hamna bei maalamu mpaka mteja afike ndio mujadiliane naye bei? [emoji45]
 
Back
Top Bottom