Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3]Watu wa TRA tumeshika calculator hapa tunasubiri ataje bei tujue.
dalali njaa huyu mkuu wajanja tushamstukia ukienda hapo unapigwa bei kwa muonekano wakobei muhimu sana hata kama tutakuja kujionea lakini mtu unakuja ukijua akilini kabisa kwamba ina range from ngapi to ngapi.
National Housing na NSSF nyumba zao wanatangaza bei kila sikuWeka bei acha kutuzingua...Jengo tunalijua liko pale karibu na Sido. Ni jengo zuri na limejengwa na Mchina wa group six. Ila bila bei tangazo lako ni kazi bure.
Mods anzeni kung'oa mabango yote ya biashara ambayo hayana bei humu JF...
Nafuu sh.ngapi? Hivi watanzania mkoje weka bei mwenye uwezo atachukua unataka mtu afunge safari akifika halafu ashindwe bei ndo ufurahie?BEI NI NAFUU MNO KARIBU UIONE MWENYEWE
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538
KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Hii kitu huwa siipendi ila basi tu..Mara bei njoo pm...Mara karibu kwa mazungumzo...weka hadharani bei tafadhaliDuniani kote bei za nyumba uweka hadharani sijui why Watanzania atuna tabia hii. please weka bei
TUNA
ASANTE KWA USHAURI WAKO ILA KWA MASWALA YA BEI TUNASHAURI MNUNUAJI AFIKE OFISINI KABISA ILI TUYAJADILI ASANTE.
Wengine toka mbali, ukiweka bei kulingana na apartment, itasaidia mtu kujua kama anaweza nunua au atafte kiwanja majohe ajenge mwenyewe.bei zinatoofautiana kulingana na floor ivyo ingekuwa vizur ufike ili uone bei ambayo unaweza kuiafford, na ss hv tuna promosion karibu
Ha ha haacha maneno weka bei
Wewe ni mdwanzi mkuu. Kama umeamua kutangaza, weka wazi kila kituBEI NI NAFUU MNO KARIBU UIONE MWENYEWE
Sasa kama mimi nipo nchi jirani nitafikaje? Naweza kumtuma mtu aje aangalie anitumie na picha anipe na bei nukipigwa atakuwa amenipiga wewe au rafiki yangu? Weka bei kuanzia shiling kadhaa mpaka kadhaa ili nikimtuma mtu niwe najua bei asinipige cha juu.bei zinatoofautiana kulingana na floor ivyo ingekuwa vizur ufike ili uone bei ambayo unaweza kuiafford, na ss hv tuna promosion karibu