Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bei nafuu sana ndiyo shilingi ngapi? we jamaa unaporojo za hatareeBEI NI NAFUU MNO KARIBU UIONE MWENYEWE
BEI NI NAFUU MNO KARIBU UIONE MWENYEWE
ASANTE KWA USHAURI WAKO ILA KWA MASWALA YA BEI TUNASHAURI MNUNUAJI AFIKE OFISINI KABISA ILI TUYAJADILI ASANTE.Kumbe tunaishi na watu wanaoweza kuishi maisha mazuri namna hii.. Me Sina hela Ila na shauri muuzaji aweke bei.. Wabongo tunajua bwana!
KARIBU OFISINI NITAWEZA KUKUTAJIA BEI IYO NAFUU.bei nafuu sana ndiyo shilingi ngapi? we jamaa unaporojo za hataree
Tunataka utuambie hapa.Ukifika maelezo yote utapata karibu!
ASANTE SANA KUWAELEZA ILO MKUU.Unajua kwanini hawezi kuweka bei!?kula take unategemea matangazo na matangazo yawe na na mrejesho!!kma hamjafika physically hawezi kuonekana kama anafanya kazi,
Kila kitu kinachowekwa siri uje kina utata,kwanini hamuweki hizo bei za nyumba bayana ili watu walio mje ya nchi wenye uwezo wakununua na wao wapate nafasi za kutathmini hizo bei za nyuma,I am sorry to say your way of doing bussiness is a bit suspiciousYOUR MOST WELCOME! BUT COULD YOU COME TO THE OFFICE PLEASE! SO THAT WE CAN DISCUSS ABOUT THE PRICE! THANK YOU!
HAYO NI MASWALA YA KUJADILI OFISINI MKUU ,LAKINI PIA SIDHANI KAMA UNAWEZA KUITUMA IYO HELA PASIPOKUFIKA KUIONA KWANZA , IVYO ,NIKUOMBE RADHI, NA PIA NIENDELEE KUSEMA KUWA NITAITAJA BEI PALE UTAKAPOFIKA NA KUIONA APARTMENT ASANTE.Hahaaaa 'KARIBU UIONE MWENYEWE'
Mkuu unadhani wote tunaishi dar? Kuna shida gani kusema tu kima cha chini ni million kadhaa na kima cha juu ni million kadhaa? Kama umepata ujasiri wa kupiga picha na kuweka namba kwanini ushindwe kuweka bei?
Watu wa TRA tumeshika calculator hapa tunasubiri ataje bei tujue.Hahaaaa 'KARIBU UIONE MWENYEWE'
Mkuu unadhani wote tunaishi dar? Kuna shida gani kusema tu kima cha chini ni million kadhaa na kima cha juu ni million kadhaa? Kama umepata ujasiri wa kupiga picha na kuweka namba kwanini ushindwe kuweka bei?
Kaka biashara ya Nyumba inakuwa wazi, sio kila mtu yuko Tz au Dar, kwani hauna price tag za kila appartment uziweke hapa?YOUR MOST WELCOME! BUT COULD YOU COME TO THE OFFICE PLEASE! SO THAT WE CAN DISCUSS ABOUT THE PRICE! THANK YOU!
acha maneno weka bei
NIKUOMBE RADHI KWANZA NA PIA, INGEKUWA SIRI SIDHANI KAMA NINGEWEZA KUELEZA ENEO HUSIKA AMBAPO NAWEZA KUPATIKANA NA APARTMENT ZILIPO, HAKUNA USIRI WOWOTE ILA KWA SABABU NA MALEGO YA COMPUNI YETU , TUNAPENDA MTEJA AIONE APARTMENT TUJADILI BEI TUKIWA OFISINI- ASANTEKila kitu kinachowekwa siri uje kina utata,kwanini hamuweki hizo bei za nyumba bayana ili watu walio mje ya nchi wenye uwezo wakununua na wao wapate nafasi za kutathmini hizo bei za nyuma,I am sorry to say your way of doing bussiness is a bit suspicious
Sawa mkuu endelea kuficha bei na sisi tujifiche piaHAYO NI MASWALA YA KUJADILI OFISINI MKUU ,LAKINI PIA SIDHANI KAMA UNAWEZA KUITUMA IYO HELA PASIPOKUFIKA KUIONA KWANZA , IVYO ,NIKUOMBE RADHI, NA PIA NIENDELEE KUSEMA KUWA NITAITAJA BEI PALE UTAKAPOFIKA NA KUIONA APARTMENT ASANTE.