misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Nakubaliana na wewe mkuuUnajua kwanini hawezi kuweka bei!?kula take unategemea matangazo na matangazo yawe na na mrejesho!!kma hamjafika physically hawezi kuonekana kama anafanya kazi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe mkuuUnajua kwanini hawezi kuweka bei!?kula take unategemea matangazo na matangazo yawe na na mrejesho!!kma hamjafika physically hawezi kuonekana kama anafanya kazi,
Jamaa ata mkimsimamia kwa bastola ili ataje bei sidhani kama atatajaUnajua kwanini hawezi kuweka bei!?kula take unategemea matangazo na matangazo yawe na na mrejesho!!kma hamjafika physically hawezi kuonekana kama anafanya kazi,
Mkuu yahani mtu afunge safari kutoka huku mwanza kuja kuulizia bei???!!Ni vigumu mm kukutajia bei kabisa km unaweza kufika ukaiona itakuwa vzr, naweza kukupa maelezo jinsi ya kufika
karibu
Kweli ndg yangu nitoke Bukoba kuja kuulizia bei? Kwa nini bei inakiwa siri hivyo?Ni vigumu mm kukutajia bei kabisa km unaweza kufika ukaiona itakuwa vzr, naweza kukupa maelezo jinsi ya kufika
karibu
Kumbe bei ni maelewano?YOUR MOST WELCOME! BUT COULD YOU COME TO THE OFFICE PLEASE! SO THAT WE CAN DISCUSS ABOUT THE PRICE! THANK YOU!
Msafara wa mamba kenge hawakosekani.>> SAFI SAANA vyumba Vikubwa ,vina Nafasi NZURI saana Yaani ni KUJIDODA tu mwenyewe >>
Huyu sio muhusika atakuwa kishoka.Matangazo ya hivi huwa nayaita matangazo ya kikuda. kwa hivo namimi nilyeko milima ya andes na tolabora na nataka ninunue mjengo maskani yanipasa kufunga safari kuja upanga ili tu kujua bei??? Hata tu aliyepo chato itabidi aje dar kujua tu bei? Byashara gani hiyo mkuu mbona hatubadiliki na mbadiliko ya tabia maendeleo. kwanini usingepiga baragumu hapo upanga posta na kariakoo kuwa watu waje waulize bei na kuona? Weka atleast hata price ranges.
Bila kuweka bei ungekaa kimya tu. Unajisumbua kuweka tangazo bila bei.Ni vigumu mm kukutajia bei kabisa km unaweza kufika ukaiona itakuwa vzr, naweza kukupa maelezo jinsi ya kufika
karibu
TUNA
ASANTE KWA USHAURI WAKO ILA KWA MASWALA YA BEI TUNASHAURI MNUNUAJI AFIKE OFISINI KABISA ILI TUYAJADILI ASANTE.
Weka bei [HASHTAG]#weka[/HASHTAG] beiTUNA
ASANTE KWA USHAURI WAKO ILA KWA MASWALA YA BEI TUNASHAURI MNUNUAJI AFIKE OFISINI KABISA ILI TUYAJADILI ASANTE.