House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

Huu ni upuuzi unaulizwa bei unaleta uswahili basi kaa nayo umekariri unadhani watu wote wanaushi Dar es salaam akili za madalali bwana utazijua tu ,dalali hua hajifichi
 
Masharti ya kutoweka bei hadharani kapewa na mmiliki ili kukwepa kodi tuu hapo hakuna kingine na kama jengo ni la Mchina ndio kabisaa...
 
Ukanjanja huu na udalali weka bei fanya kitu kitaalamu zaidi ndugu
 
>> SAFI SAANA vyumba Vikubwa ,vina Nafasi NZURI saana Yaani ni KUJIDODA tu mwenyewe >>
 
Matangazo ya hivi huwa nayaita matangazo ya kikuda. kwa hivo namimi nilyeko milima ya andes na tolabora na nataka ninunue mjengo maskani yanipasa kufunga safari kuja upanga ili tu kujua bei??? Hata tu aliyepo chato itabidi aje dar kujua tu bei? Byashara gani hiyo mkuu mbona hatubadiliki na mbadiliko ya tabia maendeleo. kwanini usingepiga baragumu hapo upanga posta na kariakoo kuwa watu waje waulize bei na kuona? Weka atleast hata price ranges.
Huyu sio muhusika atakuwa kishoka.
Bei sio siri
 
Kama hutaki kutaja bei, au utaki kuweka bei ya chini na ya juu basi panga mwenyewe
 
Jamani bei ina range Kama ifuatavyo
Bei ya chini kabisa milioni 800.
Bei ya juu kabisa Billion 7.
Ila bei hizo zinapungua kidogo.
I hope mumenielewa.
Asanteni sana.
 
Huyu jamaa naona ni dalali uchwara, wenye jengo lao wamebandika bei zote kwenye website za RealEstate, sasa yeye naona ni wale wanaotaka kulazimisha umuone ili akupige "hela ya kuonyeshwa".
no-name-8312-54893-6-product.jpg

ingieni huku kila kitu kipo: Apartment for Sale at Ivory Tower Upanga
 
Back
Top Bottom