Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

Kuna kipindi huwa mnapandisha nyuzi ambazo watu huwa tunabaki tunawashangaa sana, mwenyekiti wako sio ndio alimnadi Lowasa Tz nzima???

Kiufupi, hata chembe chadema hamumuwezi Dr.
Kikundi chenu angalau Mnyika na Heche tu
 
Huyu anapigana mfumo urudishwe Baada ya kupoteza mtu wa mfumo WAO!!anaona mjesuity mwenzako hatoingia ikulu Hadi karibu 2035!!hivyo katumwa apige siasa kutega Ili mtu wao apite 2025!!angalau hata KWA mhula mmoja tu!!siasa ya udini hiyo katumwa kuipiga angalau watawa wapozwe!!!
 
Sasa ingekuwa hivyo basi ulaya na Marekani upinzani ungekufa siku nyingi.
 
Jiwe naye huko motoni atakuwa anamwambia mungu Mimi jiwe naona Tanzania nzima nipo kwenye FIRIGISI za Dr Padre Mzee Willbroad Slaa,naona serikali ,mke/mchumba wake wanamkaanga mkavukavu bila huruma leo Slaa ndio wa kumuweka meza Moja na msukuma chizi maarifa
 
agenda ni katiba mpya
 
Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake[emoji23][emoji23][emoji23]

Nadhani Dr. Slaa anaumwa au amechoka sana
 
kuna haja azuiwe kuongea hadharani
 
Ni Jambo lakusikitisha Sana waliokuwa ccm wakawa makapi wakapokelewa upinzani wakapikwa wakapewa Uhuru wa lakini baada ya kuwa Lulu wakiwa upinzani baadae wakatongozwa tena na mme wao wa zamani ccm nao kwa umalaya wao wa kisiasa wakakubali wakaanza kutumiwa back & forth Sasa wamedoda mume kawachoka kawabwaga Kama condom iliyotumika wanatamani warudi Tena upinzani na huko nako wanaambiwa huko upinzani hawatumii kwa mpalange warudi hukohuko kwa aliyewafundisha kutumia akili kinyume Cha maumbile......
 
Mbowe aliuza chama slaa hawezi kuwa dalali!
 
Hili lizee lijinga sana ndiyo lilikuwa mshauri wa nyani Chato kuvuruga demokrasia nchini Tanzania.
 
Aiseeee !!!
 
Dr.SLAA Anachosimamia ni kupata MKATE wake wa kila SIKU na ikibidi afikiriwe hata UKATIBU MKUU WA CCM
 
Silaa anatumia gap ya machawa wa Meko kujipa promo ilimradi anafahamu kabisa sukumagang imedhoofika Sasa anataka kupiga na hiyo gap kujionyesha kwamba yeye ni pro Meko ili wale "wanyonge" ambao bado wanaishi kwenye enzi ya zinduna awavune.

Silaa ni mpenda madaraka na sasa amewekwa bench he has nowhere to go and he has nothing to lose sana sana anataka kuwavuruga CCM.

Kama upinzani wakikaa nae vizuri ijapokuwa wanamuona msaliti Ila kwa sasa huyu ana karata kubwa sana maana bado ana uwezo wa kutumia uchawa wa Meko kuipa upinzani mtaji wa kisiasa.

Watu wengi especially"wanyonge" wanaamini kila anayepiga kelele kwa sasa ni pro Meko especially ukimpinga mama kwa sasa wanakuona wewe ndio inafaa na Silaa anaweza kutwist akili za wajinga wengi sana.

Nachoamini ni kwamba Silaa anajua he has no future within CCM sababu aliowapinga na kuvurugana nao enzi ambayo Silaa alikuwa Moto wa gesi ndio kwa sasa wameshika mpini na mama anawasikiliza/wanasikilizana.

Silaa anaamini he had more years to enjoy kwenye Ubalozi if Meko angekuwepo huyu nae anakuwa ni mhanga wa kifo cha Magufuli so lazima amaindi Sanaa na naona kabisa anaelekea kumsumbua mama muda si mrefu ni vile bado anapima upepo na njaa haijamkamata kisawasawa ili kumsukuma kutoangalia left or right.

Silaa anatamani kurudi CHADEMA lakini anajua hatapata Ile heshima Tena lakini pia wakati anaondolewa ubalozini lazima Kuna majadiliano angefanya na CHADEMA but by that time uongozi wa juu ulikuwa haupo kwa maana ya Mbowe kuwa jela, Lissu kuwa uhamishoni, Lema pamoja na Heche hawa ni watu ambao Wana ushawishi kwenye chama.

Binafsi namuona Silaa Kama bado ni karata turufu kwa sasa japo akizingua Ila hata angekuwa mpinzani kwa kipindi kile Cha Meko it was useless jamaa hakuruhusu siasa ya upinzani na alilinda legacy yake kwa mtutu wa bunduki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…