Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .

View attachment 2164960
Kwa akili zako finyu huwezi kumwelewa
 
Hiyo post iko wazi kabisa labda wewe unaisoma ukiwa umefunga jicho moja.

Magufuli alikuwa na msimamo wa wazi ambao wapinzani walikuwa wakiupinga kila siku na hata ajenda ya Lissu kwenye kampeini yake ya urais ilikuwa ni kumpinga Magufuli tu. Mama msimamo wake hauko wazi kiasi hivho: kawapa kila walichodai ikiwa ni pamoja na kumtuma DPP asiendelee kumshitaki Mbowe, kuwaita ikulu na kuwapa chai, na kuwaambia kuna kamati ya kuratibu mikutano ya siasa, kama vile katiba haina vipengele hivyo. Kwa hali hiyo amewanyamazisha kabisa na wala hawana ajenda tena. Ndiyo matatizo makubwa ya vyama vya siasa kutokuwa na ajenda imara ya kitaifa bali wanayumba na events za wakati huo tu. Mpaka juzi bado Mbowe anaongelea ya Magufuli tu ambaye hayupo tena!
Kwa hiyo mtu akishakufa tuhuma hakuna?!
 
Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .

View attachment 2164960
uyu mze namkubali tena sana na chadema ni chama changu ila kosa walilofanya kama chama ni kumkaribisha mamvi na kumteua agombe uraisi hapo ndo tatzo lilipoanzia,wangemwacha slaa agombe mana alikuwa anaitikadi kama magufuli kwenye mambo ya ufisadi akibua hoja nchi ilikuwa haikaliki,kwa kifup upnzani wakweli na imara ulikuwa enzi za huyu mwamba dk slaa ungekuta upnzani unaongonza nchi kupitia huyu mwamba wa kaskazini na tuache unafki mamvi alikuwa fisadi tena mkubwa sana miaka yote tulikuwa tunamnanga kwa ufisadi wake alafu tunamkaribisha aje agombee uraisi, hapo ndo tatzo lilipoanzia namkubali sana slaa ila chadema ni chama changu ila naona kwa sasa ameshapoteza mvuto sababu mainzi ya kijani yameshampaka mavi
 
Mbona Wewe unaonekana kijana Lakini ndo Zero Brain kabisa.

Wewe Ni Mbowe is always right. Kwa kuwa Wengine wote hawafanani na Mbowe so wengine wote hawako Right. Ni wazee. Nk.

Let me tell you level ya uelewa Slaa, Mbowe hata akatambike kichaga hawezi kuifikia.

Jaribu kuficha ujinga wako once and a while.
Ndugu umehemka sana relax.
 
uyu mze namkubali tena sana na chadema ni chama changu ila kosa walilofanya kama chama ni kumkaribisha mamvi na kumteua agombe uraisi hapo ndo tatzo lilipoanzia,wangemwacha slaa agombe mana alikuwa anaitikadi kama magufuli kwenye mambo ya ufisadi akibua hoja nchi ilikuwa haikaliki,kwa kifup upnzani wakweli na imara ulikuwa enzi za huyu mwamba dk slaa ungekuta upnzani unaongonza nchi kupitia huyu mwamba wa kaskazini na tuache unafki mamvi alikuwa fisadi tena mkubwa sana miaka yote tulikuwa tunamnanga kwa ufisadi wake alafu tunamkaribisha aje agombee uraisi, hapo ndo tatzo lilipoanzia namkubali sana slaa ila chadema ni chama changu ila naona kwa sasa ameshapoteza mvuto sababu mainzi ya kijani yameshampaka mavi
Magufuli alipinga Ufisadi ?
 
Anaemsujudu yeye alisema wazi kabisa kuwa 2020 hakuna kitu kitaitwa upinzani hapa Tanzania na kweli alilifanyia kazi kwa kushirikiana na Polepole na Bashiru je mbio zao waliweza kumaliza jibu ni hapana ila wao ndio WALIMALIZWA.Chadema ipo vilevile tena inapendwa zaidi.
Chadema hipi ambayo haijafa?hii yenye mbunge mmoja na COVID-19 🤣🤣🤣ndani ya Chadema ndani kuna mpasuko mkubwa, Kuna wanaounga mkono akina COVID-19 na wanaopinga, Chadema haiko Salama kama unavyozania.
 
Kwani mbona Ni muda mrefu tunaambiwa upinzani unakufa haufi wanakufa wao, Hata mzee slaa atakufa upinzani atauacha.
 
Kwa kiasi kikubwa ni kweli kuwa ACT ndiyo wapinzani kwa sababu ya idadi ya wabunge, lakini hata CHADEMA sasa hivi hwana ajenda tena. Ule mkwara waliokuwa wanampigia Magufuli hawana ubavu wa kufanya hivyo kwa mama kwa vile wanataka kuwa kama wanauma na kupuliza, ila wanakuwa wanapuliza kwa nguvu sana kuliko ile nguvu ya kuuma.
Inawezekana kuna jambo unajaribu kulielezea, lakini hujapata njia nzuri ya kulieleza likaeleweka kirahisi.
Ngoja mimi nijaribu kwa kifupi, kama hivi ndivyo unavyowaza juu ya CHADEMA.
Mbowe, ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA, na ambaye bila shaka anapozungumza anawakilisha mawazo ya chama hicho, kisha eleza yaliyozungumzwa kati yake na Samia walipokutana baada ya kutoka jela. Hili linaeleweka, na sina sababu ya kuyarudia hapa waliyoazimia kuyafanya.

Sasa niambie, katika muda huu mfupi, na ukizingatia hayo waliyokubaliana, utategemea vipi CHADEMA waonyeshe yale yale waliyokuwa wanaonyesha wakati wa Magufuli, wakati ambapo walikuwa wakiwindwa kupigwa virungu, kuwekwa mahabusu, na hata kutishiwa kuuwawa?
Hilio moja.

La pili, hata kama halina uzito mkubwa kwa sasa; anayoyasimamia Samia ndani ya chama chake, na matamanio ya mafanikio anayotarajia kwenye utawala wake, hayana tofauti kubwa sana na yale yanayotamaniwa na CHADEMA, kisera. Tofauti pekee iliyopo kwa sasa kati ya CCM ya Samia na CHADEMA ya Mbowe, ni kushikilia, au kutafuta madaraka ya kuongoza nchi. Samia hataki katiba mpya, siyo kwamba haoni ubovu wake, ila katiba hiyo inampa wigo zaidi wa kumbakisha madarakani.
CHADEMA wao wanaona Katiba hii ni kizingiti kikuu kinachowanyima fursa ya kushika madaraka, kwa hiyo watafanya kila juhudi, ipatikane Katiba Mpya.
Sasa basi, kama bado unaona CHADEMA wamenyang'anywa agenda ya mambo ya kusimamia, ikiwa ni pamoja na hili la Katiba Mpya, hapo nadhani labda una maana nyingine ambayo bado hujaielezea hapa ili tukuelewe vizuri.

Uwanja ni wako.
 
Anasimamia kweli.

Mbowe asipokomaa upinzani utakufa rasmi!
Bwashee, upinzani ni uwepo wa mawazo kinzani na mbadala. Kitu hicho hakiwezi kufa bali kujibadili au kujinyumbua.
Kinyume chake ni ukondoo au mtindo wa kibatabata.
Vyama vyawerza kufa lakini upizani hapana. Wazo kinzani huzaliwa ndani watu na kwa pamoja hujongea.
 
In short Dkt Slaa ana msimamo, kamwe siyo bendera fuata upepo.
 
Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .

View attachment 2164960
Mzee wetu nae mayala(njaa)inamsumbua Kama anataka kurudi chadema aombe
 
Navyojua kadri mwanadamu anavyozidi kuzeeka ndio akili yake inarudi kuwa kama ya mtoto, hivyo simshangai huyo babu.
Umeniwahi nilichokuwa nafikiria kukiandika, bravo[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Bwashee, upinzani ni uwepo wa mawazo kinzani na mbadala. Kitu hicho hakiwezi kufa bali kujibadili au kujinyumbua.
Kinyume chake ni ukondoo au mtindo wa kibatabata.
Vyama vyawerza kufa lakini upizani hapana. Wazo kinzani huzaliwa ndani watu na kwa pamoja hujongea.
Kwa bahati mbaya sana, uliyempa somo hili (uliyemjibu) aidha hana uwezo wa kuelewa au ni mtu ambaye hana umakini wowote na majibu kama haya. Nasema hili, kutokana na uzoefu na mtu huyo hapa hapa jamvini. Leo utamueleza jambo rahisi alielewe, kesho unakuta anabwatuka tena na yale yale uliyojaribu kumfundisha.

Umejitahidi sana kumpa somo zuri hapa, lakini najua halimwingii akilini.
 
Akafe mbele tu, kwa umri huo ni anaongeza mabadiliko ya tabia nchi ameshakuwa mzoga unaopumua.....
 
Inawezekana kuna jambo unajaribu kulielezea, lakini hujapata njia nzuri ya kulieleza likaeleweka kirahisi.
Ngoja mimi nijaribu kwa kifupi, kama hivi ndivyo unavyowaza juu ya CHADEMA.
Mbowe, ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA, na ambaye bila shaka anapozungumza anawakilisha mawazo ya chama hicho, kisha eleza yaliyozungumzwa kati yake na Samia walipokutana baada ya kutoka jela. Hili linaeleweka, na sina sababu ya kuyarudia hapa waliyoazimia kuyafanya.

Sasa niambie, katika muda huu mfupi, na ukizingatia hayo waliyokubaliana, utategemea vipi CHADEMA waonyeshe yale yale waliyokuwa wanaonyesha wakati wa Magufuli, wakati ambapo walikuwa wakiwindwa kupigwa virungu, kuwekwa mahabusu, na hata kutishiwa kuuwawa?
Hilio moja.

La pili, hata kama halina uzito mkubwa kwa sasa; anayoyasimamia Samia ndani ya chama chake, na matamanio ya mafanikio anayotarajia kwenye utawala wake, hayana tofauti kubwa sana na yale yanayotamaniwa na CHADEMA, kisera. Tofauti pekee iliyopo kwa sasa kati ya CCM ya Samia na CHADEMA ya Mbowe, ni kushikilia, au kutafuta madaraka ya kuongoza nchi. Samia hataki katiba mpya, siyo kwamba haoni ubovu wake, ila katiba hiyo inampa wigo zaidi wa kumbakisha madarakani.
CHADEMA wao wanaona Katiba hii ni kizingiti kikuu kinachowanyima fursa ya kushika madaraka, kwa hiyo watafanya kila juhudi, ipatikane Katiba Mpya.
Sasa basi, kama bado unaona CHADEMA wamenyang'anywa agenda ya mambo ya kusimamia, ikiwa ni pamoja na hili la Katiba Mpya, hapo nadhani labda una maana nyingine ambayo bado hujaielezea hapa ili tukuelewe vizuri.

Uwanja ni wako.
La kwanza unasema kuwa sasa hivi CHADEMA hawana sera kwa vile Mbowe ambaye ndiye chama chenyewe alikuwa na msukosuko kwa hiyo anahitaji kufanya maandalizi. Ninakubalina nawe kuwa Mbowe anahitaji maandalizi baada ya msukosuko huo. Binadamu yeyoyte akipitia muda mgumu aliopitia, ni lazima apewe muda wa kujipanga upya. Hata hivyo unakubaliana nami kuwa CHADEMA kama chama hakina sera, kinategema matamko ya Mbowe tu.

la pili, unarudia yale ya zamani kwa lugha tofauti kuwa Samia anasimamia mambo ambayo CHADEMA nayo ndiyo wanayotaka. Ni kama tulivyowahi kuambiwa zamani kuwa Chadema inataka kufufua ATCL, TRC na kuimarisha elimu. Magufuli alipofanya mambo hayo hayo hayo wakampinga kwa nguvu sana hadi kuyaita maendeleo ya vitu. Kwa hiyo la pili inawezekana unalisema wewe kwa logic yako tu lakini siyo msimamo wa CHADEMA ambao walishajitanabahi kuwa wao ni chama mbadala kwa maana ya kutokukubaliana na CCM kwa kila kitu, ila wananatoa mbadala, ambao sasa hivi hawana.
 
Back
Top Bottom