Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

Kwani kujeruhi,kuteka,kuua ni sera?
Na wewe umeishiwa unaaza kuleta hadithi za kuhisi na wala hujui maana ya sera.

Sera ni ahadi ambayo mwanasiasa anawapa wapiga kura wake kuwa mkinichagua nitafanya mambo yapi. Sasa basi, leta mfano wa mwanasiasa aliyehutubia wananachi akitangaza hayo unayosema kama siyo maneno yako ya uchochoroni tu. Hisia za namna hii huenda ndizo zinafanya CHADEMA inakosa sera, kwani wanadhani kulaumu ndiyo sera; ni afadhali hata mzee Rungwe ana sera zinazjulikana.
 
Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .

View attachment 2164960
Tumbo likiwa na njaa ni shida! Waweza tukana na kuwataa ndugu, wazazi, marafiki na hata mitume!
 
La kwanza unasema kuwa sasa hivi CHADEMA hawana sera kwa vile Mbowe ambaye ndiye chama chenyewe alikuwa na msukosuko kwa hiyo anahitaji kufanya maandalizi. Ninakubalina nawe kuwa Mbowe anahitaji maandalizi baada ya msukosuko huo. Binadamu yeyoyte akipitia muda mgumu aliopitia, ni lazima apewe muda wa kujipanga upya. Hata hivyo unakubaliana nami kuwa CHADEMA kama chama hakina sera, kinategema matamko ya Mbowe tu.

la pili, unarudia yale ya zamani kwa lugha tofauti kuwa Samia anasimamia mambo ambayo CHADEMA nayo ndiyo wanayotaka. Ni kama tulivyowahi kuambiwa zamani kuwa Chadema inataka kufufua ATCL, TRC na kuimarisha elimu. Magufuli alipofanya mambo hayo hayo hayo wakampinga kwa nguvu sana hadi kuyaita maendeleo ya vitu. Kwa hiyo la pili inawezekana unalisema wewe kwa logic yako tu lakini siyo msimamo wa CHADEMA ambao walishajitanabahi kuwa wao ni chama mbadala kwa maana ya kutokukubaliana na CCM kwa kila kitu, ila wananatoa mbadala, ambao sasa hivi hawana.
Sasa unaingia kwenye kupotosha bila ya sababu yoyote, ila hiyo tu ya kupotosha.
Ni wapi nilipoandika kwamba "CHADEMA hawana sera kwa vile Mbowe ambaye ndiye chama chenyewe" Huu ni upuuzi.

Nimekubali lini kwamba:CHADEMA kama chama hakina sera, kinategemea matamko ya Mbowe tu."

Inajulikana kuwa huo ugonjwa unaokusumbua wa 'Alzheimer' ulikuwa hautibiki kwa kukosa dawa, lakini nakufahamisha sasa kwamba angalao kuna matumaini, dawa zimeanza kupatikana, ila bado ni za majaribio. Nakushauri ukajiandikishe mapema ili uwekwe kwenye kundi la majaribio ya dawa hizo. Pengine utabahatika kupata nafuu.
 
Sasa unaingia kwenye kupotosha bila ya sababu yoyote, ila hiyo tu ya kupotosha.
Ni wapi nilipoandika kwamba "CHADEMA hawana sera kwa vile Mbowe ambaye ndiye chama chenyewe" Huu ni upuuzi.
Hapana, hukuandika hivyo bali hiyo ni tafsiri yangu mimi binafsi kuhusu hili swali hili uliloweka hapa. Kwangu linaonyesha kuwa sasa hivi hawawezi kusema lolote kwa vile ndiyo tu Mbowe amefanya mkutano na Rais samia. Aliyefanya mkutano ule ni Mbowe na sera za chama zinatakiwa ziwe independent of personalities !

Sasa niambie, katika muda huu mfupi, na ukizingatia hayo waliyokubaliana, utategemea vipi CHADEMA waonyeshe yale yale waliyokuwa wanaonyesha wakati wa Magufuli, wakati ambapo walikuwa wakiwindwa kupigwa virungu, kuwekwa mahabusu, na hata kutishiwa kuuwawa?
 
Delila (Josephine) ametuharibia Samsoni wetu [emoji24]

Nguvu zimemuishia Sanson imebaki hadithi kuwa hapo zamani za kale alikuwa ni mtu mwenye nguvu na misimamo lakini Delila Josephine kwa tamaa akatumika kumuharibu Sanson wetu sisi waTZ!

Delila Josephine salamu zikufikie popote ulipo na ujue ya kuwa utavuna ulichopanda kwa hila na ghiliba zako !
 
Post imekaa kijinga jinga hivi! Unauliza maswali bila kushirikisha akili ya kuzaliwa .... ebu fanya home work kidogo utaelewa amesimamia wapi.
 
Kwa nini CAG Assad alifukuzwa kwenya nafas yakei asiendelee kipindi cha pili?
uyu mze namkubali tena sana na chadema ni chama changu ila kosa walilofanya kama chama ni kumkaribisha mamvi na kumteua agombe uraisi hapo ndo tatzo lilipoanzia,wangemwacha slaa agombe mana alikuwa anaitikadi kama magufuli kwenye mambo ya ufisadi akibua hoja nchi ilikuwa haikaliki,kwa kifup upnzani wakweli na imara ulikuwa enzi za huyu mwamba dk slaa ungekuta upnzani unaongonza nchi kupitia huyu mwamba wa kaskazini na tuache unafki mamvi alikuwa fisadi tena mkubwa sana miaka yote tulikuwa tunamnanga kwa ufisadi wake alafu tunamkaribisha aje agombee uraisi, hapo ndo tatzo lilipoanzia namkubali sana slaa ila chadema ni chama changu ila naona kwa sasa ameshapoteza mvuto sababu mainzi ya kijani yameshampaka mavi
 
Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .

View attachment 2164960
Shida akili yako ndogo Sana hutaweza kumwelewa mtu mwenye akili kubwa na mzalendo wa kweli Dr. Slaa

Nimeamini kumbe watu tunatofautiana Sana katika uwezo wa akili

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Erythrocyte

Upinzani wa sasa si kama wa miaka 5 hadi 15 nyuma, ni wazi umeyumbishwa na itachukua muda kidogo kurudishwa kama awali...

Kimsingi, wanasiasa wa upinzani wanapswa kuutumia muda huu kujijenga kimya kimya kama vile kimbunga kinavyoaanza kujijenga kabla ya kuwa hatari kinapokomaa
 
Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .

View attachment 2164960
Sasa hv anasimamia tumbo lake,this man is disgrace and stain in opposition and academia flatenity,how does one stand that low!it's so demeaning both at personal and professional level
 
Delila Josephine anachojua ni kujichubua tu basi!

Ametuharibia akili ya Mzee wetu ! Inauma sana.

Mzee alikuwa akifika Bungeni anatumikia watanzania kwa moyo wote , akili, nguvu na uadilifu wake wote.

Jamaa alikuwa akisoma between lines maandishi yote yahusuyo kazi za bunge, miswada, Sheria, budget n.k

Alikuwa halali tofauti na walivyo wengi.

Lakini kaja kuangushwa na adui kupitia Delila.

Mision accomplished
 
Wengi wa wabunge hasa wa chama fulani huenda bungeni kama wanaenda adventures [emoji108]

Wanaenda kujirusha kunywa na mambo ya ndengele kwa sana!

Wanasubiri kusema ndiooooo

Hawajishughulishi kusoma wala kuhoji maswala ya msingi yenye hatima ya vizazi vya Taifa hili.

Sijui hawajisikii kuwiwa mioyoni mwao?!
 
Silaa amepoteza kibali machoni pa watanzania wengi tangu alipoasi!

Sasa hivi hata akiongea la Maana yanakuwa ni makele tu masikioni mwa wengi.

Tubia dhambi ya usaliti kwanza mzee.
 
Huyu Mzee, ni tumbo tu linalomsumbua.

Baada ya kuona kuwa ametupwa nje ya ubalozi........

Anatafuta njia za kuonekana na wanaccm, Ili apewe "ulaji" mwingine😁
Nitajie mtu mmoja ambaye hasumbuliwi na tumbo. Wewe kila dakika unaposti Mbowe, Mbowe hadi umeitwa Chawa Namba moja. Husumbuliwi na tumbo? Lissu kila siku, posho zangu za ubunge, posho zangu za ubunge; hasumbuliwi na tumbo? Pumbavu!
 
Back
Top Bottom