Na wewe umeishiwa unaaza kuleta hadithi za kuhisi na wala hujui maana ya sera.Kwani kujeruhi,kuteka,kuua ni sera?
Tumbo likiwa na njaa ni shida! Waweza tukana na kuwataa ndugu, wazazi, marafiki na hata mitume!Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .
Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .
Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .
Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .
View attachment 2164960
Sasa unaingia kwenye kupotosha bila ya sababu yoyote, ila hiyo tu ya kupotosha.La kwanza unasema kuwa sasa hivi CHADEMA hawana sera kwa vile Mbowe ambaye ndiye chama chenyewe alikuwa na msukosuko kwa hiyo anahitaji kufanya maandalizi. Ninakubalina nawe kuwa Mbowe anahitaji maandalizi baada ya msukosuko huo. Binadamu yeyoyte akipitia muda mgumu aliopitia, ni lazima apewe muda wa kujipanga upya. Hata hivyo unakubaliana nami kuwa CHADEMA kama chama hakina sera, kinategema matamko ya Mbowe tu.
la pili, unarudia yale ya zamani kwa lugha tofauti kuwa Samia anasimamia mambo ambayo CHADEMA nayo ndiyo wanayotaka. Ni kama tulivyowahi kuambiwa zamani kuwa Chadema inataka kufufua ATCL, TRC na kuimarisha elimu. Magufuli alipofanya mambo hayo hayo hayo wakampinga kwa nguvu sana hadi kuyaita maendeleo ya vitu. Kwa hiyo la pili inawezekana unalisema wewe kwa logic yako tu lakini siyo msimamo wa CHADEMA ambao walishajitanabahi kuwa wao ni chama mbadala kwa maana ya kutokukubaliana na CCM kwa kila kitu, ila wananatoa mbadala, ambao sasa hivi hawana.
Hapana, hukuandika hivyo bali hiyo ni tafsiri yangu mimi binafsi kuhusu hili swali hili uliloweka hapa. Kwangu linaonyesha kuwa sasa hivi hawawezi kusema lolote kwa vile ndiyo tu Mbowe amefanya mkutano na Rais samia. Aliyefanya mkutano ule ni Mbowe na sera za chama zinatakiwa ziwe independent of personalities !Sasa unaingia kwenye kupotosha bila ya sababu yoyote, ila hiyo tu ya kupotosha.
Ni wapi nilipoandika kwamba "CHADEMA hawana sera kwa vile Mbowe ambaye ndiye chama chenyewe" Huu ni upuuzi.
In short Dkt Slaa ana msimamo, kamwe siyo bendera fuata upepo.
Ukweli upi?Dr Tlaa anaonekana kuwa kwenye stressful period.Yawezekana hajaliAnasimamia kweli.
Mbowe asipokomaa upinzani utakufa rasmi!
Hivi Delila wake ni CCM Member?Zamani ilikuwa hivyo lakini baada ya kumpata Delila - Josephine hali yake na nguvu na akili ikabadilika mpaka sasa kila siku afadhali ya jana!
Inasikitisha sana
uyu mze namkubali tena sana na chadema ni chama changu ila kosa walilofanya kama chama ni kumkaribisha mamvi na kumteua agombe uraisi hapo ndo tatzo lilipoanzia,wangemwacha slaa agombe mana alikuwa anaitikadi kama magufuli kwenye mambo ya ufisadi akibua hoja nchi ilikuwa haikaliki,kwa kifup upnzani wakweli na imara ulikuwa enzi za huyu mwamba dk slaa ungekuta upnzani unaongonza nchi kupitia huyu mwamba wa kaskazini na tuache unafki mamvi alikuwa fisadi tena mkubwa sana miaka yote tulikuwa tunamnanga kwa ufisadi wake alafu tunamkaribisha aje agombee uraisi, hapo ndo tatzo lilipoanzia namkubali sana slaa ila chadema ni chama changu ila naona kwa sasa ameshapoteza mvuto sababu mainzi ya kijani yameshampaka mavi
Shida akili yako ndogo Sana hutaweza kumwelewa mtu mwenye akili kubwa na mzalendo wa kweli Dr. SlaaHuyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .
Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .
Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .
Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .
View attachment 2164960
Kwa nini CAG Assad alifukuzwa kwenya nafas yakei asiendelee kipindi cha pili?
Achana naye huyu. Huyu Mzee kapoteza mwelekeo. Hata mke wake amemkataa kutokana na kutokuwa na msimamo.Tumbo.
Sasa hv anasimamia tumbo lake,this man is disgrace and stain in opposition and academia flatenity,how does one stand that low!it's so demeaning both at personal and professional levelHuyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .
Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .
Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .
Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .
View attachment 2164960
Nitajie mtu mmoja ambaye hasumbuliwi na tumbo. Wewe kila dakika unaposti Mbowe, Mbowe hadi umeitwa Chawa Namba moja. Husumbuliwi na tumbo? Lissu kila siku, posho zangu za ubunge, posho zangu za ubunge; hasumbuliwi na tumbo? Pumbavu!Huyu Mzee, ni tumbo tu linalomsumbua.
Baada ya kuona kuwa ametupwa nje ya ubalozi........
Anatafuta njia za kuonekana na wanaccm, Ili apewe "ulaji" mwingine😁