Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka miwili saivPole! Tangu uugue ni muda gani mpaka Sasa?
Wewe ni me au ke?Miaka miwili saiv
Miaka miwili
Ugonjwa umekomaa Sana.Hapo unatakiwa kupata dawa ya kunywa na kupaka kwa pamojaMiaka miwili saiv
AsanteKuna uzi humu wanasema kalia ndoo ya maji ya moto yenye chumvi mvuke wake upige penye bawasiri. Tafuta nyuzi zinazohusu bawasiri humu JF utapata tiba
SawaUgonjwa umekomaa Sana.Hapo unatakiwa kupata dawa ya kunywa na kupaka kwa pamoja
Njoo PMMsaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
I'm sorry, bawasiri ni nini?Kuna uzi humu wanasema kalia ndoo ya maji ya moto yenye chumvi mvuke wake upige penye bawasiri. Tafuta nyuzi zinazohusu bawasiri humu JF utapata tiba
I'm sorry, bawasiri ni nini?
Kuna moja ya kienyeji nitakuulizia halafu nitakwambia maana imewaponyesha watu nnaowafahamu kama wawili.Msaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
Nitashukuru sana nakusubiriaKuna moja ya kienyeji nitakuulizia halafu nitakwambia maana imewaponyesha watu nnaowafahamu kama wawili.
Asante nitajaribuHuwezi amini mkuu bawasili inatibika kwa kula Sana tango,peaz,embe la kuiva na chungwa
Shariti ni moja tu.
Kama unatumia pombe Kali simama Ila bia kunywa ni wiki moja tu utakuwa sarama
Usisahau kunipa mlejesho Anza Sasa mkuu