Anayejua dawa ya bawasiri inayoponyesha msaada tafadhali

Anayejua dawa ya bawasiri inayoponyesha msaada tafadhali

Ni
Msaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
kushauri uende ufanye vpimo ujue bawasiri yako ipo hatua gani,kuna vituo Vya Afya nimeona vipo takriban Nchi nzima wanapima magonjwa yote ya ndan na kutoa tiba,Kama upo sereous njoo inbox nikuelekeze walipo ili uende ufanye vipimo na upate Dawa bila
Upasuaji,ghrama za vipimo ni 30,000/=
 
Back
Top Bottom