FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 399
- 794
Oh that's terrible then, nashukuru sana kwa kunifahamisha bila shaka tiba ipo right?Bawasiri ni maradhi mabaya mno ya kutoka nyama njia ya haja kubwa,wakati mwingine huandamana na upele pembeni yake.
Ataongeza tatizo, atumie dawa za asili.Kuna uzi humu wanasema kalia ndoo ya maji ya moto yenye chumvi mvuke wake upige penye bawasiri. Tafuta nyuzi zinazohusu bawasiri humu JF utapata tiba
Kuna dada aliniuzia imenisaidiaMsaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
Nisaidie na mm kama inawezekanaKuna dada aliniuzia imenisaidia
Mkuu bawasiri inapona na Zipo Aina 2 ya nje na ya ndani. Wewe Una ipi mkuuMsaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
Upo mkoa gani utumiwe buree ILA utalioa gharama ya usafiri tuMkuu bawasiri inapona na Zipo Aina 2 ya nje na ya ndani. Wewe Una ipi mkuu
Nipo dar ww upo wapUpo mkoa gani utumiwe buree ILA utalioa gharama ya usafiri tu
Ya njee ninayoMkuu bawasiri inapona na Zipo Aina 2 ya nje na ya ndani. Wewe Una ipi mkuu
Bado sijapata nahitaji ndugukama hujapata dawa just check with me.
Pole sana.
Dawa ni kuhama mazingira hayo uliyopo na kuhamia kwengineko hapo ndio utapona Bawasiri haina dawa narudia ni habitual ukihama na yenyewe inapoteaMsaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
Sawa UsijaliNisaidie na mm kama inawezekana
Toka October 18, dawa zote ulizotajiwa humu hakuna iliyokusaidia? Toka useme upo Mwanza na sasa unasema Dar, hujapona tu? Basi hiyo "dawainasiri"Bado sijapata nahitaji ndugu
Nimekucheki inboxNisaidie na mm kama inawezekana
Nichek in box mkuu nikuelekeze kutengeneza dawa ya HIYO KITU mkuuBado sijapata nahitaji ndugu