SawaUpo sahihi mkuu, ndio maana ukiangalia nchi kama USA maraisi wao wapo wengi na kila mmoja anamchango wake na mapungufu yaliyopelekea wao kufika hapo walipo leo, tutafika tu isipokuwa ni muhimu kila zama ikaweka takwimu zake bayana na yote hii ni kwa manufaa ya vizazi vijavyo kujifunzia.
Safi SanaNjoo sema hapa ipi ni namba ya Uongo,
Mimi sijui propaganda ila najua facts tu,
Kusema uongo naogopa Mungu wangu ntamkosea
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,Amani iwe nanyi wanaJf,
===
Nilikuwa napitia hotuba na machapisho mbalimbali ya Rais wetu kipenzi Hayati Dk Johnb John Joseph Pombe Magufuli kunajambo naomba wenye ufahamu watusaidie japo na mimi nitachagiza kidogo kwa uelewa nilionao||
===
Kwenye hotuba zake karibu zote Katika kila alichotamka kwa idadi alijilinganisha na Rais wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na yeye mara zote aliibuka kuwa mshindi na hadhira wakati wote ilimshangilia kwa nderemo na vifijo,fine||
HOJA YANGU HII HAPA,
______________________
1. Je! Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha kuwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote na hafai au aliamini katika sayansi ya "Comparative analysis|advantage" kama njia bora zaidi ya kuelezea ubora wa mtu |kitu? kwa kuisaidia hadhira husika kutambua vizuri "Ilikotoka, Iliko na inakokwenda ?
2. Je! Wale tunaoiga mtindo huu mzuri sasa wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli wa kutumia na sisi njia ile ile ya " Comparative advantage " dhidi yake yeye mwenyewe na Rais aliyeko madarakani yaani Rais Samia Suluhu Hassan kwakufanya hivyo tunamkosea Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Mafuli ?!
===
Kwa ufahamu wangu, sikweli kwamba Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote laa hasha ila alitaka wananchi tuelewe zaidi tulikotoka,tulipo na tunapokwenda vivyo hivyo wanaotumia " Comparative analysis " dhidi ya Hayati Rais Magufuli na Rais Samia nawao watakuwa na maana ileile aliyokuwanayo Hayati Dk John John Pombe Magufuli,
===
Angalia hizi picha hapo chini ,nilikozungushia ni rejea ya mwaka 2015 aliyoifanya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli dhidi ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ambayo hata hivyo haijawahi kulalamikiwa na Dkt Jakaya mwenyewe wala walinda legacy wake,
View attachment 2000783
View attachment 2000784
Nazani ni buku70 sasaHivi bado ni buku saba ileile au ilishapanda!?
Kumbe unapenda ligiAmani iwe nanyi wanaJf,
===
Nilikuwa napitia hotuba na machapisho mbalimbali ya Rais wetu kipenzi Hayati Dk Johnb John Joseph Pombe Magufuli kunajambo naomba wenye ufahamu watusaidie japo na mimi nitachagiza kidogo kwa uelewa nilionao||
===
Kwenye hotuba zake karibu zote Katika kila alichotamka kwa idadi alijilinganisha na Rais wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na yeye mara zote aliibuka kuwa mshindi na hadhira wakati wote ilimshangilia kwa nderemo na vifijo,fine||
HOJA YANGU HII HAPA,
______________________
1. Je! Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha kuwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote na hafai au aliamini katika sayansi ya "Comparative analysis|advantage" kama njia bora zaidi ya kuelezea ubora wa mtu |kitu? kwa kuisaidia hadhira husika kutambua vizuri "Ilikotoka, Iliko na inakokwenda ?
2. Je! Wale tunaoiga mtindo huu mzuri sasa wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli wa kutumia na sisi njia ile ile ya " Comparative advantage " dhidi yake yeye mwenyewe na Rais aliyeko madarakani yaani Rais Samia Suluhu Hassan kwakufanya hivyo tunamkosea Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Mafuli ?!
===
Kwa ufahamu wangu, sikweli kwamba Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote laa hasha ila alitaka wananchi tuelewe zaidi tulikotoka,tulipo na tunapokwenda vivyo hivyo wanaotumia " Comparative analysis " dhidi ya Hayati Rais Magufuli na Rais Samia nawao watakuwa na maana ileile aliyokuwanayo Hayati Dk John John Pombe Magufuli,
===
Angalia hizi picha hapo chini ,nilikozungushia ni rejea ya mwaka 2015 aliyoifanya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli dhidi ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ambayo hata hivyo haijawahi kulalamikiwa na Dkt Jakaya mwenyewe wala walinda legacy wake,
View attachment 2000783
View attachment 2000784
Umeongelea tafsiri zako za Hotuba za JPM na siyo alichokisema.Amani iwe nanyi wanaJf,
===
Nilikuwa napitia hotuba na machapisho mbalimbali ya Rais wetu kipenzi Hayati Dk Johnb John Joseph Pombe Magufuli kunajambo naomba wenye ufahamu watusaidie japo na mimi nitachagiza kidogo kwa uelewa nilionao||
===
Kwenye hotuba zake karibu zote Katika kila alichotamka kwa idadi alijilinganisha na Rais wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na yeye mara zote aliibuka kuwa mshindi na hadhira wakati wote ilimshangilia kwa nderemo na vifijo,fine||
HOJA YANGU HII HAPA,
______________________
1. Je! Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha kuwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote na hafai au aliamini katika sayansi ya "Comparative analysis|advantage" kama njia bora zaidi ya kuelezea ubora wa mtu |kitu? kwa kuisaidia hadhira husika kutambua vizuri "Ilikotoka, Iliko na inakokwenda ?
2. Je! Wale tunaoiga mtindo huu mzuri sasa wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli wa kutumia na sisi njia ile ile ya " Comparative advantage " dhidi yake yeye mwenyewe na Rais aliyeko madarakani yaani Rais Samia Suluhu Hassan kwakufanya hivyo tunamkosea Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Mafuli ?!
===
Kwa ufahamu wangu, sikweli kwamba Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote laa hasha ila alitaka wananchi tuelewe zaidi tulikotoka,tulipo na tunapokwenda vivyo hivyo wanaotumia " Comparative analysis " dhidi ya Hayati Rais Magufuli na Rais Samia nawao watakuwa na maana ileile aliyokuwanayo Hayati Dk John John Pombe Magufuli,
===
Angalia hizi picha hapo chini ,nilikozungushia ni rejea ya mwaka 2015 aliyoifanya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli dhidi ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ambayo hata hivyo haijawahi kulalamikiwa na Dkt Jakaya mwenyewe wala walinda legacy wake,
View attachment 2000783
View attachment 2000784
Nimeelewa vizuri Sana hii, Asante sanaAmani iwe nanyi wanaJf,
===
Nilikuwa napitia hotuba na machapisho mbalimbali ya Rais wetu kipenzi Hayati Dk Johnb John Joseph Pombe Magufuli kunajambo naomba wenye ufahamu watusaidie japo na mimi nitachagiza kidogo kwa uelewa nilionao||
===
Kwenye hotuba zake karibu zote Katika kila alichotamka kwa idadi alijilinganisha na Rais wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na yeye mara zote aliibuka kuwa mshindi na hadhira wakati wote ilimshangilia kwa nderemo na vifijo,fine||
HOJA YANGU HII HAPA,
______________________
1. Je! Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha kuwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote na hafai au aliamini katika sayansi ya "Comparative analysis|advantage" kama njia bora zaidi ya kuelezea ubora wa mtu |kitu? kwa kuisaidia hadhira husika kutambua vizuri "Ilikotoka, Iliko na inakokwenda ?
2. Je! Wale tunaoiga mtindo huu mzuri sasa wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli wa kutumia na sisi njia ile ile ya " Comparative advantage " dhidi yake yeye mwenyewe na Rais aliyeko madarakani yaani Rais Samia Suluhu Hassan kwakufanya hivyo tunamkosea Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Mafuli ?!
===
Kwa ufahamu wangu, sikweli kwamba Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote laa hasha ila alitaka wananchi tuelewe zaidi tulikotoka,tulipo na tunapokwenda vivyo hivyo wanaotumia " Comparative analysis " dhidi ya Hayati Rais Magufuli na Rais Samia nawao watakuwa na maana ileile aliyokuwanayo Hayati Dk John John Pombe Magufuli,
===
Angalia hizi picha hapo chini ,nilikozungushia ni rejea ya mwaka 2015 aliyoifanya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli dhidi ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ambayo hata hivyo haijawahi kulalamikiwa na Dkt Jakaya mwenyewe wala walinda legacy wake,
View attachment 2000783
View attachment 2000784
Wapuuze watu wa namna hiyo.Tatizo ni wale wanaofikiri Rais Samia hawezi kufanya vizuri zaidi ya Watangulizi wake hata pale alipofanya vizuri bado hawataki umlinganishe na yeyote ila asimame yeye kama yeye jambo ambalo kwenye "Comparative advantage linakataa,
Watu wanaona kumlinganisha Hayati Rais Magufuli na Rais Samia na Rais Samia akashinda eti huko ni kumsema vibaya Hayati Rais Magufuli najua wanahitaji elimu kama hizi,
Hayo hayapo tena fanya kazi zako kwa uhuru ,Mwendazake ashakwenda zake, kumjadili ni kumpa promo la bure !! hakuna aliyedhani kuna siku Tanzania yetu kiongozi anaweza kupigwa risasi mchacha mchana kama mnyama wa mwitu na hakuna kesi.
Haha maisha ya kutaja taka majina ya wanaume wenzako! Ooooh fulani anafaaa, nani amekuuliza, leta hoja critical issue .Wewe unajuaje kama nitatukana!
Maelezo meeengi!!!
Kiingereza kiiiiingi!!!!!!
CHAKUSHANGAZA HUJAJIBU SWALI!
Kazi iendeleeAmani iwe nanyi wanaJf,
===
Nilikuwa napitia hotuba na machapisho mbalimbali ya Rais wetu kipenzi Hayati Dk Johnb John Joseph Pombe Magufuli kunajambo naomba wenye ufahamu watusaidie japo na mimi nitachagiza kidogo kwa uelewa nilionao||
===
Kwenye hotuba zake karibu zote Katika kila alichotamka kwa idadi alijilinganisha na Rais wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na yeye mara zote aliibuka kuwa mshindi na hadhira wakati wote ilimshangilia kwa nderemo na vifijo,fine||
HOJA YANGU HII HAPA,
______________________
1. Je! Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha kuwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote na hafai au aliamini katika sayansi ya "Comparative analysis|advantage" kama njia bora zaidi ya kuelezea ubora wa mtu |kitu? kwa kuisaidia hadhira husika kutambua vizuri "Ilikotoka, Iliko na inakokwenda ?
2. Je! Wale tunaoiga mtindo huu mzuri sasa wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli wa kutumia na sisi njia ile ile ya " Comparative advantage " dhidi yake yeye mwenyewe na Rais aliyeko madarakani yaani Rais Samia Suluhu Hassan kwakufanya hivyo tunamkosea Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Mafuli ?!
===
Kwa ufahamu wangu, sikweli kwamba Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alilenga kuonesha Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete hakufanya lolote laa hasha ila alitaka wananchi tuelewe zaidi tulikotoka,tulipo na tunapokwenda vivyo hivyo wanaotumia " Comparative analysis " dhidi ya Hayati Rais Magufuli na Rais Samia nawao watakuwa na maana ileile aliyokuwanayo Hayati Dk John John Pombe Magufuli,
===
Angalia hizi picha hapo chini ,nilikozungushia ni rejea ya mwaka 2015 aliyoifanya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli dhidi ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ambayo hata hivyo haijawahi kulalamikiwa na Dkt Jakaya mwenyewe wala walinda legacy wake,
View attachment 2000783
View attachment 2000784
HahahaSasa mnataka Rais Samia aanzie wapi?
Au yeye aanzie mwakani?