Anayejua Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alimaanisha nini aliposema haya atusaidie

Anayejua Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli alimaanisha nini aliposema haya atusaidie

Yaani jiwe badala ya kuponda wapinzani yeye alimponda kikwete Boss wake aliye mpa ugali.. Tena kwa nguvu....alimfanyia nini????
mrithi wake...
ofisi moja...
.chama kilekile...
sera zilezile zilizotufikisha hapa!!....
Boss wake...
kaka yake....
Alikuwa na wasiwasi gani kwa kikwete mbona hana makuu huyu jamaa??
Wasiwasi wa jiwe nini?aliona jamaa ana profile kuubwa...south kwenye msiba walimshangilia sana kikwete kuliko magu.ile ilimuumiza jiwe.
Ajabu kikwete hakumjibu...daaa kajamaa kana akili sana. Jifunzeni kitu kwa kikwete.
 
Yaani jiwe badala ya kuponda wapinzani yeye alimponda kikwete Boss wake aliye mpa ugali.. Tena kwa nguvu....alimfanyia nini????
mrithi wake...
ofisi moja...
.chama kilekile...
sera zilezile zilizotufikisha hapa!!....
Boss wake...
kaka yake....
Alikuwa na wasiwasi gani kwa kikwete mbona hana makuu huyu jamaa??
Wasiwasi wa jiwe nini?aliona jamaa ana profile kuubwa...south kwenye msiba walimshangilia sana kikwete kuliko magu.ile ilimuumiza jiwe.
Ajabu kikwete hakumjibu...daaa kajamaa kana akili sana. Jifunzeni kitu kwa kikwete.
Kazi kweli kweli
 
Yaani jiwe badala ya kuponda wapinzani yeye alimponda kikwete Boss wake aliye mpa ugali.. Tena kwa nguvu....alimfanyia nini????
mrithi wake...
ofisi moja...
.chama kilekile...
sera zilezile zilizotufikisha hapa!!....
Boss wake...
kaka yake....
Alikuwa na wasiwasi gani kwa kikwete mbona hana makuu huyu jamaa??
Wasiwasi wa jiwe nini?aliona jamaa ana profile kuubwa...south kwenye msiba walimshangilia sana kikwete kuliko magu.ile ilimuumiza jiwe.
Ajabu kikwete hakumjibu...daaa kajamaa kana akili sana. Jifunzeni kitu kwa kikwete.
Kazi iendelee Tanzania,tuko salama Sana na Mama Samia,
 
Tatizo ni wale wanaofikiri Rais Samia hawezi kufanya vizuri zaidi ya Watangulizi wake hata pale alipofanya vizuri bado hawataki umlinganishe na yeyote ila asimame yeye kama yeye jambo ambalo kwenye "Comparative advantage linakataa,

Watu wanaona kumlinganisha Hayati Rais Magufuli na Rais Samia na Rais Samia akashinda eti huko ni kumsema vibaya Hayati Rais Magufuli najua wanahitaji elimu kama hizi,
Mpaka sasa amefeli kwenye mapambano dhidi ya corona, kampeni ya chanjo imebuma na nina uhakika hata fedha na vifaa tiba vilivyoingizwa nchini kupambana na corona vimekwisha chakachuliwa, amefeli kwenye mfumuko wa bei za bidhaa nchini, amefeli kwenye nishati ya umeme, amefeli kwenye kudhibiti ajali na mauaji nchini hususani ya wanafamilia.amefeli kwenye miradi mbalimbali ambayo kwa sasa inasuasua,ikiwemo barabara ya njia nane morogoro road,n.k
 
Back
Top Bottom