NDIO JAMII ZA WATU WENYE IQ KUBWA TANZANIA.Ukweli kiingereza n rahisi kwao kuliko kiswahili na kukuta mmasai kachafua LA,Paris,London ila daslam hapajui tatizo watu wanawachukulia poa sanaa.
Now or never..!Perish the thought dude.
kuna watu kibao maarufu na hatuwajui ije kua huyo mvaa mapazia kuwa mitandaoni sio kuwajua watu maarufu me mwenyewe nimeshaona post yake ila hata sikuifungua kuangalia nn kinaendelea hapo nawezaje mjua anafanya sanaa ganiunapitia mitandao ipi kiasi cha kutomjua huyu kijana anafanya sanaa ipi? Huyu kijana ana trend sana mitandaoni na sasa amepata segment kwenye shindano linalofanana na la big brother huko india japo si mshiriki wa shindano hilo. Anaigiza nyimbo za kihindi
kuna watu kibao maarufu na hatuwajui ije kua huyo mvaa mapazia kuwa mitandaoni sio kuwajua watu maarufu me mwenyewe nimeshaona post yake ila hata sikuifungua kuangalia nn kinaendelea hapo nawezaje mjua anafanya sanaa gani
Duhh! Em nisaidie link nimfollow. Mana,simjui kabisaYuko vzr sna huwa naenjoy kumwangalia akiimba na kuchezq
Kuweka link hata sijui mkuuDuhh! Em nisaidie link nimfollow. Mana,simjui kabisa
Ni Tanzania tu kuna uvivu wa kujifunza lugha.. hapo DRC watu kibao wanajua English, French, Lingala & Kiswahili. Na idadi ya wanaojifunza English na Kiswahili inaongezeka kwa kasi ya ajabu. Tanzania tunadanganyana na Kiswahili peke yakeUnaambiwa kuna wamasai matajiri wa tanzanite wanaongea kingereza kama ton brair ila hawajagusa hata kidato
Visa za kwenda huko Paris, LA & London wanachukulia ofisi za ubalozi zilizopo Oldonyo Sambu na Lengijave kwahiyo hakuna haja ya kwenda Dar.Ukweli kiingereza n rahisi kwao kuliko kiswahili na kukuta mmasai kachafua LA,Paris,London ila daslam hapajui tatizo watu wanawachukulia poa sanaa.
[emoji2]Huyu jamaa wadada wa kihindi wanamshobokea hatari... Afanye mpango aopoe hata ka kuchikuchi hotae kamoja itakuwa poa sana... [emoji28]
.kuna watu kibao maarufu na hatuwajui ije kua huyo mvaa mapazia kuwa mitandaoni sio kuwajua watu maarufu me mwenyewe nimeshaona post yake ila hata sikuifungua kuangalia nn kinaendelea hapo nawezaje mjua anafanya sanaa gani
Ni Mmmasai wa Morogoro na anazungumza kimasai, niluguru na kuimba kihindiHuyu kijana namuona sana mitandaoni, hata hivyo ana wafuasi wengi sana Instagram, ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndiyo mtu mwenye wafuasi wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda kutumbuiza India na wasanii wakubwa sana lakini utashi na ubunifu wake unazua gumzo kwani huvaa nguo za kimila jamii ya Masai.
Niongee ukweli, miaka mitano ijayo huyu mtu atakuwa pakubwa sana hata Diamond hatamgusa. Tuombe mungu uhai na uzima.
π³π³π³π³π³π³π³Visa za kwenda huko Paris, LA & London wanachukulia ofisi za ubalozi zilizopo Oldonyo Sambu na Lengijave kwahiyo hakuna haja ya kwenda Dar.
unajua ameanza kuhit tangu lini mkuu? pia ukumbuke huyu ni kimataifa hao uliwa mention walikuwa media za hapa nyumbani ndio zilikuwa zinawapa kiki, Mwisho japo sio kwa umuhimu huyo jamaa pia anwasaidia wahindi na serikal yao kupata pesa hivyo wataendelea kuishi nae maana kuna benefit wanapataHuyu jamaa sio wa kudumu. Labda ajiongeze apige mishe zingine zaidi ya anachokifanya. Aingie hata kwenye movie za Bollywood. Huyu namweka kundi moja na kina Piere Liquid, 900 itapendeza, Karim Mandonga mtu kazi, na wengine wanaovumaga kwa muda mfupi na kupotea.
Watu type yenu huwa mko sana tu, it's either jealousy, uchawi, husda au frustrations zako zinasababisha usipende mafanikio ya wengine.Hii ni NGUVU YA SODA
Mr Nice
Saida karoli.
ndio wale wale.
Huyu jamaa sio wa kudumu. Labda ajiongeze apige mishe zingine zaidi ya anachokifanya. Aingie hata kwenye movie za Bollywood. Huyu namweka kundi moja na kina Piere Liquid, 900 itapendeza, Karim Mandonga mtu kazi, na wengine wanaovumaga kwa muda mfupi na kupotea.