Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaambiwa kuna wamasai matajiri wa tanzanite wanaongea kingereza kama ton brair ila hawajagusa hata kidatoNdiyo dunia ilivyo, sema kinachonishangaza unyoofu wa English yake lakini pia nyumba wanayokaa hapo Chalinze, yaani kuna vitu naona kama havijakaa sawa, inaonekana ni mtu ambaye alijiandaa muda mrefu
Bila shaka ulitaka kumtaja Tony Blair.Unaambiwa kuna wamasai matajiri wa tanzanite wanaongea kingereza kama ton brair ila hawajagusa hata kidato
We Jamaa Lihongo sana 4 Millions Followers Twiter? Ebu screenshot akaunt yake tuoneUnaongea nini wewe wakati huko Twitter jamaa ana zaidi ya 4millions followers anawazidi hata celebs wengi wa bongo na hata huko Twitter anatrend vibaya mno.
Content CreatorMsanii Wa tasnia gani?
Comedy,
Music,
Sinema,
Weka weka nyama hbr yako
Twita kaanza kutrend juzi baada ya kulipia hela (twita wana hudumu ya kubust mtu apate wafuasi wengi)Unaongea nini wewe wakati huko Twitter jamaa ana zaidi ya 4millions followers anawazidi hata celebs wengi wa bongo na hata huko Twitter anatrend vibaya mno.
Yeah trueTwita kaanza kutrend juzi baada ya kulipia hela (twita wana hudumu ya kubust mtu apate wafuasi wengi)
Followers 4milion hajafikisha twita labda tik tok
Unajua lazima uelewe wa kushindana na Diamond ni waliokufa tu. Hana mpinzani kwenye music TanzaniaHuyu kijana namuona sana mitandaoni hata hivyo ana followers wengi sana Instagram ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndo mtu mwenye follewers wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda ku-perfom India na wasanii wakubwa sana lakini utashi na ubunifu wake unazua gumzo kwani huvaa nguo za kimila jamii ya Masai.
Niongee ukweli miaka mitano ijayo huyu mtu atakuwa pakubwa sana hata Diamond hatamgusa. Tuombe mungu uhai na uzima
View attachment 2382657
Bachelor unafanya nn hku?[emoji23][emoji23]Twita kaanza kutrend juzi baada ya kulipia hela (twita wana hudumu ya kubust mtu apate wafuasi wengi)
Followers 4milion hajafikisha twita labda tik tok
Sahiii.Asante kwa marekebishoBila shaka ulitaka kumtaja Tony Blair.
Ukweli kiingereza n rahisi kwao kuliko kiswahili na kukuta mmasai kachafua LA,Paris,London ila daslam hapajui tatizo watu wanawachukulia poa sanaa.Unaambiwa kuna wamasai matajiri wa tanzanite wanaongea kingereza kama ton brair ila hawajagusa hata kidato
Kumbe Masai wa chalinze?Ndiyo dunia ilivyo, sema kinachonishangaza unyoofu wa English yake lakini pia nyumba wanayokaa hapo Chalinze, yaani kuna vitu naona kama havijakaa sawa, inaonekana ni mtu ambaye alijiandaa muda mrefu