Mkuu naomba ufafanue kumulika vitochi inakuwaje?Hasara unaweza kuipata pale wakipita wahuni na vitochi wakimulika mashine inamwaga pesa zote.
Kwahiyo jitahidi uimarishe ulinzi siyo tu kauchia tu mashine wewe uko busy ama kijana unaemwachia nae anaacha tu ofisi na kuzurula
Hasara unaweza kuipata pale wakipita wahuni na vitochi wakimulika mashine inamwaga pesa zote.
Kwahiyo jitahidi uimarishe ulinzi siyo tu kauchia tu mashine wewe uko busy ama kijana unaemwachia nae anaacha tu ofisi na kuzurula
Kivipumenikumbusha kuna mashine zilikuwa pale kigogo kuna baa moja.Ndugu yangu anakwambia twende na shilingi 1000 ya mia mia. sijui analifanyeje linatema 40k.basi tuna kunywa weeee tukiishiwa anaenda tena kulikologosa linatema tena.
ila wachina walishtuka wakayaondoa
Nicheki nikuelekezeMkuu naomba ufafanue kumulika vitochi inakuwaje?
Kwanini usieleze apa kwa manufaa ya wana jf mkuu.Nicheki nikuelekeze
Unayaibaje mkuuKama hujui namna ya kuyaibia hupati hela,
Nichek 0657 051 139Inategemea na eneo unapoweka mimi nimeweka Simiyu Wasukuma wanapenda sana Mabonanza napiga hela nzuri.