pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
-
- #21
Kenya hakukaliki bwashee, sie tuko peponi hapa, we acha tuKaombe cheti Kenya ....
Yeye ni mkenya, inamaanisha kazaliwa Kenya ,Kuzaliwa Kenya tayar yeye ni mkenya hata kama wazazi wote wangekua watanzania .Mie baba ni mtanzania, mama ni mkenya
Mpaka sasa ana uraia wa inchi mbili mpaka atakapofika 18
Ila wakuu nimeomba kwa anaejua tafadhali anielekeze naona uvivu kurudi tena rita
Mie baba ni mtanzania, mama ni mkenya
Mpaka sasa ana uraia wa inchi mbili mpaka atakapofika 18
Ila wakuu nimeomba kwa anaejua tafadhali anielekeze naona uvivu kurudi tena rita
Nenda sehemu aliozaliwa bro vp Kwan ???!!Hapa sasa umenisaidia kidogo, ingawa bado hujaniongoza kipi cha kufanya baada ya kushindwa kuipata kenya kwenye form ya maelezo ya mtoto online ya rita website
Kama ni hivo basi kubali tu aendelee kuwa mkenya na chakumsaidia mtoto nenda kachukue cheti chake Cha kuzaliwa Kenya alaf akikua atajua yeye achague wapiNimejaza form, ila nimeshinde
Yes ni dhambi kuongopa, ningeweza kutengeneza tangazo hospitali yeyote ile then nikatoa chetu kirahisi, ila kiukweli ningekuwa nimemdhulumu sana mtoto, baadae akikua atakuwa anasema uongo maisha yake yote, kwani akiulizwa atasema nimezaliwa tz wakati ukweli ni amezaliwa kenya
Yaan bro kuitafuta Rita Kenya ni sawasawa na kutafuta NIDA kenyaWakati wa kujaza form online nimekosa kipengele cha kuchagua inchi, only tanzania iko pale, so huna option nyingine,
Sasa ndio nikauliza anaejua je tunafanyeje?
Sasa kama unasimamia ukweli umeleta post ya nin huku jfHapana, hilo sikushindwa kufanya ila nasimamia ukweli
Sasa kama amezaliwa Kenya unatakaje apatiwe cheti cha kuzaliwa cha Tanzania na umesema kabisa hutaki kupindisha? Nenda kamsajili Kenya awe na cheti cha Kenya; baadae huku umtaftie passport. Hatuna uraia pacha. KalaleWakati wa kujaza form online nimekosa kipengele cha kuchagua inchi, only tanzania iko pale, so huna option nyingine,
Sasa ndio nikauliza anaejua je tunafanyeje?
Kama sio msabato basi mfuasi wa munyaazi mungu huyu, wanafiki sana hao watu utawasikia Leo sifanyi kazi kabisa sababu ni siku ya ibada alafu usiku unalikuta linadinya mwanamke gesti.Unakusaidia nini huo ukweli katika mazingira haya! Duuh...au ndio unahisi utakuwa umefanya dhambi!?
Mkuu kama hutaki taabu ,Nimejaza form, ila nimeshinde
Yes ni dhambi kuongopa, ningeweza kutengeneza tangazo hospitali yeyote ile then nikatoa chetu kirahisi, ila kiukweli ningekuwa nimemdhulumu sana mtoto, baadae akikua atakuwa anasema uongo maisha yake yote, kwani akiulizwa atasema nimezaliwa tz wakati ukweli ni amezaliwa kenya
Unapewa akili unajifanya unajua subir siku ukitaka kumtengenezea bima ya afya ya NHIF ndio utaita maji mma. Au siku akianza shule.Hapana, hilo sikushindwa kufanya ila nasimamia ukweli
Si anafata uraia wa baba? Baba si ni mtanzania?Sasa kama amezaliwa Kenya unatakaje apatiwe cheti cha kuzaliwa cha Tanzania na umesema kabisa hutaki kupindisha? Nenda kamsajili Kenya awe na cheti cha Kenya; baadae huku umtaftie passport. Hatuna uraia pacha. Kalale
Mama ni mkenya ujue, mie nataka mwanangu awe mtanzaniaSiku zote mtoto ni wa mama,wacha mama afanye hiyo kazi we tulia.
Akili ya kusema uongo?Unapewa akili unajifanya unajua subir siku ukitaka kumtengenezea bima ya afya ya NHIF ndio utaita maji mma. Au siku akianza shule.