Tanzania kuna ujinga sana kwenye jambo hilo.
Siku ukienda kumwandikisha shule ndiyo utafahamu ujinga wetu. Mwalimu shule atakwambia huyu siyo Mtanzania nenda wizara ya elimu, wizara ya elimu ukienda hakuna jibu la moja kwa moja, watakwambia nenda mambo ya nje, mambo ya nje watakwambia nenda mambo ya ndani watakwambialeta ushuzi, leta uharo, leta ujinga mpaka aandikishwe shule uko taabani. Ni ujinga ujinga mtupu, kote humo kila mtu anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.
Yaani hata ufanye vipi sasa hivi, ikifikia shule na kutaka passport yake mwenyewe ya kusafiri ndiyo utajuwa kuwa hatujuwi.