Tatizo watu wanapenda kuosheana balaa,uzi ushabadilika
Mtu hata kuandika hawezi halafu eti ndio ameacha kazi ya 1.5M kwa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23].....ujazaliwa[emoji777]
...hujazaliwa[emoji3581]
...ajalipa[emoji777]
....hajalipa[emoji3581]
.....umuweka [emoji849]
Ndo[emoji777]
Ndiyo...[emoji3581]
....maskini[emoji777]
....masikini[emoji3581]
Daaaa nimecheka balaaa.Mtu hata kuandika hawezi halafu eti ndio ameacha kazi ya 1.5M kwa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23]
JF ina Matahira mengi kweli, huyu hata uhakika wa kula leo mchana hana[emoji23]
mbona kima cha chini recently ni 350,000 basi ongezeko litakuwa 20Naomba wale wataalam wa kimahesabu watuchakatie tujue makisio ya ongezeko la mshahara mwaka 2023/2024
Tukiwa kwenye majukwaa kama hivi si mbaya kujua Kwa sababu iliishatangazwa kianzio kutoka 300k-370k TSH.
Rejea hotuba ya waziri wa fedha bungeni.
Sasa tujie hizi
Naomba kuwasilisha
Boss ajira ina umhimu , wake hasa bima ya Afya , kuuza mafungu ya nyanya inahtaji roho ya pakaMama Edina, mimi nakuombea kwa Mungu ufunguke, Yani siku 25 unafanya kazi kwa kudamka and mwisho unapata 380,000?
Kweli ukijipanga sokoni vizuri, kwa sala, na maombi, ukauza hata viazi, unatoa 450,000 kwa mwezi.
Hivi umpe mtu 380,000 kwa mwezi hapa dar es salaam, binti ajaolewa, analea ndugu, wazazi, maisha sio fair.
[emoji3][emoji3] umenikumbusha enzi zile mtaani tunashangilia umeme ukirudi wakat home kuna kibatariAngalia isije kuwa unasema hivyo halafu wewe huna hata huo mshahara kwa mwezi wala income yoyote, kama yule mwingine aliyekuwa anajimwambafai humu kumbe anatamani ajira
Kwasababu hii ni JF bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
angalia sim bank mkuuHivi mshahara wa mwezi huu kwanza umeshatoka wajameni?? Nauliza tu
🤣🤣🤣 Muda ndio huuHivi mshahara wa mwezi huu kwanza umeshatoka wajameni?? Nauliza tu
Ofisi ya CAG wanaondolewa kwenye TGTS wanapelekwa kwenye level level zingine
Watajua na salary nzuri km zingine zenye maziwa na asali
Uyo sio kapata nyongeza ya mshahara atakua kapanda grade hakuna nyongeza kubwa ivo [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia isije kuwa unasema hivyo halafu wewe huna hata huo mshahara kwa mwezi wala income yoyote, kama yule mwingine aliyekuwa anajimwambafai humu kumbe anatamani ajira
Kwasababu hii ni JF bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wale watu hawako kwenye salary za ki TRA? Wataanza kulipwa bei ganiOfisi ya CAG wanaondolewa kwenye TGTS wanapelekwa kwenye level level zingine
Watajua na salary nzuri km zingine zenye maziwa na asali
Mkuu Take it or leave it,
Jamaa kaajiriwa mwaka Jana, kama kuna watu wanapanda Daraja Kwa mwaka mmoja basi sawa!
Basi huenda scheme yao ya mshahara mpya imepitaMkuu Take it or leave it,
Jamaa kaajiriwa mwaka Jana, kama kuna watu wanapanda Daraja Kwa mwaka mmoja basi sawa!