Habari wanabodi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Binafsi namuona kama bado anatumikia cheo chake cha zamani kuliko hiki alichonacho sasa. Inawezekana hii inasababishwa na mazoea ya anafasi aliyotoka kiasi kwamba anaegemea kwenye mambo ya ujenzi tu huku sekta nyingine kama afya, elimu na uchumi zikidorora.
Wenzangu mnamuonaje??.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Binafsi namuona kama bado anatumikia cheo chake cha zamani kuliko hiki alichonacho sasa. Inawezekana hii inasababishwa na mazoea ya anafasi aliyotoka kiasi kwamba anaegemea kwenye mambo ya ujenzi tu huku sekta nyingine kama afya, elimu na uchumi zikidorora.
Wenzangu mnamuonaje??.