Nadhani bado hatujamuombea vizuri...Habari wanabodi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Binafsi namuona kama bado anatumikia cheo chake cha zamani kuliko hiki alichonacho sasa. Inawezekana hii inasababishwa na mazoea ya anafasi aliyotoka kiasi kwamba anaegemea kwenye mambo ya ujenzi tu huku sekta nyingine kama afya, elimu na uchumi zikidorora.
Wenzangu mnamuonaje??.
Mkuu hii ndoto yako inatisha sana japo ina ukweli mtupu. wasiwasi wangu wasije kuangaika na ndoto yako maanake watawala wanogopa ndoto kuliko majambazi.Habari wanabodi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Binafsi namuona kama bado anatumikia cheo chake cha zamani kuliko hiki alichonacho sasa. Inawezekana hii inasababishwa na mazoea ya anafasi aliyotoka kiasi kwamba anaegemea kwenye mambo ya ujenzi tu huku sekta nyingine kama afya, elimu na uchumi zikidorora.
Wenzangu mnamuonaje??.
Kweli kabisa mkuu Juma Pombe Maharage kafeli mnoo. Nimeamini kuwa ukulu sio kupiga push up na kukariri idadi ya madaraja na barabara.Kiukweli amepwaya everywhere...
Hakuna sehemu utapita ukute hakuna manung'uniko.
Umenena Mkuu.Kweli kabisa mkuu Juma Pombe Maharage kafeli kwa mnoo. Nimeamini kuwa mkulu sio kupiga push up na kukariri idadi ya madaraja na barabara.
Hahahaha....hawachelewi hawaMkuu hii ndoto yako inatisha sana japo ina ukweli mtupu. wasiwasi wangu wasije kuangaika na ndoto yako maanake watawala wanogopa ndoto kuliko majambazi.
Hawachelewi kurusha kitu chenye ncha kali.Hahahaha....hawachelewi hawa