Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Imagine ingekuwa wewe unafanyiwa vile ungejisikiaje mkuu!
 

Tcra wanakuona kaka
 
hahhhhhh kwakweliiii dunia ina mambo aseeeh
 
Ana mwenzake huyo, kila ukifungua clouds tv huyu hapa, ukifungua tbc huyu hapa, Channel 10 huyu hapa,na huko kote ni kwa wakati mmoja hadi hua nashangaa.
Suluhisho ni kuuza hiyo tv tu basi.
 
Ana mwenzake huyo, kila ukifungua clouds tv huyu hapa, ukifungua tbc huyu hapa, Channel 10 huyu hapa,na huko kote ni kwa wakati mmoja hadi hua nashangaa.
Suluhisho ni kuuza hiyo tv tu basi.
Ili kutouza Tv nitaachana na local channels nahamia BBC or CNN tu kule najua hata kusema "this is my phone hawezi "[emoji1]
 
Wewe ni mtu mzima wa miaka tu, vingine bureee kabisa maana huu uzi sio wa kuandikwa na wenye akili, alafu mtu mzima mwingine mwenye akili ana 'like' kabisa hii rubbisha, duh!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…