Rais Magufuli kuna mambo unayo wafanyia Watanzania ni sahihi kabisa ila unapwaya sana kwenye diplomasia ya mahusiano na jamii ya Watz na Kimataifa na kila siku iendayo kwa Mungu unazidi kuchemsha!!!!
Haiwezekani uwafanye watu waishi kama enzi za utawala wa Makaburu wa Afrika Kusini!
Makaburu walikuwa hawataki Waafrika wajitawale kwa hofu ya kunyang'anywa madaraka!
Sasa na wewe inaonekana una hofu kubwa sana ya kupoteza Urais kwa Wapinzani! Kwa namna unavyowashughulikia na kuwatesa Wapinzani haijawahi kutokea hapa Tanzania!!!
Kama umeweza kuwaruhusu Polisi Geita kumkamata,kumpiga na kumweka ndani Waziri Mkuu mstahafu, Mhe. Lowassa kosa tu eti kasimama kuwasalimia wananchi na wafuasi wa Chama chake CHADEMA, you're going a bit too far Mr. President!!!
Kumbuka haya hayakujengi wewe wala CCM yako baali yana kubomoa kwa 100%! Hebu jaribu kubadilika. Huu ni ushauri nasaha usio na gharama yoyote!
tatizo ketu tunadhani ukishaakuwa mwanasiasa unaxaemption na ndio maana wabunge wakajisahau sasa unadhani raisi ndio mahakama au