Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Rais Magufuli kuna mambo unayo wafanyia Watanzania ni sahihi kabisa ila unapwaya sana kwenye diplomasia ya mahusiano na jamii ya Watz na Kimataifa na kila siku iendayo kwa Mungu unazidi kuchemsha!!!!
Haiwezekani uwafanye watu waishi kama enzi za utawala wa Makaburu wa Afrika Kusini!
Makaburu walikuwa hawataki Waafrika wajitawale kwa hofu ya kunyang'anywa madaraka!
Sasa na wewe inaonekana una hofu kubwa sana ya kupoteza Urais kwa Wapinzani! Kwa namna unavyowashughulikia na kuwatesa Wapinzani haijawahi kutokea hapa Tanzania!!!
Kama umeweza kuwaruhusu Polisi Geita kumkamata,kumpiga na kumweka ndani Waziri Mkuu mstahafu, Mhe. Lowassa kosa tu eti kasimama kuwasalimia wananchi na wafuasi wa Chama chake CHADEMA, you're going a bit too far Mr. President!!!
Kumbuka haya hayakujengi wewe wala CCM yako baali yana kubomoa kwa 100%! Hebu jaribu kubadilika. Huu ni ushauri nasaha usio na gharama yoyote!

tatizo ketu tunadhani ukishaakuwa mwanasiasa unaxaemption na ndio maana wabunge wakajisahau sasa unadhani raisi ndio mahakama au
 
The greatest leader is not necessarily the one who does the greatest things.He is the one who help peoples to do the greatest things-Ronald Wilson Reagan (40 President of U.S.A 1981-1989).
 
Madaraka matamu. Magu kesha lewa madaraka na ku display ile character ya watawala makatili wa nchi za kiafrika
 
Rais Magufuli kuna mambo unayo wafanyia Watanzania ni sahihi kabisa ila unapwaya sana kwenye diplomasia ya mahusiano na jamii ya Watz na Kimataifa na kila siku iendayo kwa Mungu unazidi kuchemsha!!!!
Haiwezekani uwafanye watu waishi kama enzi za utawala wa Makaburu wa Afrika Kusini!
Makaburu walikuwa hawataki Waafrika wajitawale kwa hofu ya kunyang'anywa madaraka!
Sasa na wewe inaonekana una hofu kubwa sana ya kupoteza Urais kwa Wapinzani! Kwa namna unavyowashughulikia na kuwatesa Wapinzani haijawahi kutokea hapa Tanzania!!!
Kama umeweza kuwaruhusu Polisi Geita kumkamata,kumpiga na kumweka ndani Waziri Mkuu mstahafu, Mhe. Lowassa kosa tu eti kasimama kuwasalimia wananchi na wafuasi wa Chama chake CHADEMA, you're going a bit too far Mr. President!!!
Baba wa Taifa Mwl.Nyerere(RIP) aliwahi kusema CCM haikuwa mama yake na alikuwa tayari kuhamia UPINZANI.Je, kama angelikuwa hai na yuko CHADEMA ,CUF,UDP,NCCR-Mageuzi n.k. ungelimkata, kumhoji na kumweka ndani kisa yuko upinzani???Try to think big Mr. Presida, we do respect you!
Kumbuka haya hayakujengi wewe wala CCM yako baali yana kubomoa kwa 100%! Hebu jaribu kubadilika. Huu ni ushauri nasaha usio na gharama yoyote!
Unapomlalamikia Mh. Rais kitu ambacho hahusiki nacho kabisa usisahau kuwaambia hao unaowatetea kuwa wanapaswa kutii sheria bila shuruti. Lowassa kuwa maarufu au kuwa mgombea urais si exepmtion ya kutotii taratibu, sheria na kanuni.
 
Kwamba meli anayoiongoza inaenda mrama....

He doesn't know what to do anymore and doesn't care anymore...

Uwanja wa Chato na hizo ndege,ndio kumbukumbu yake akiondoka (legacy)....
 
Kwamba meli anayoiongoza inaenda mrama....

He doesn't know what to do anymore and doesn't care anymore...

Uwanja wa Chato na hizo ndege,ndio kumbukumbu yake akiondoka (legacy)....

Lakini ndio kwanza kaingia mwaka wa pili mpaka miaka mitano yawezekana legacies kuongezeka.
 
Bado miaka 8 na miezi Kama kumi hivi. Bado ngoma mbichi.

CCM oyeee, CCM oyeee, Dar Es salaam safiii? Safiiii.....hahahahaha.......wanasiasa Hawa........Mungu anawaona! Hata wale wanaitikia anawaona pia.....
 
he he! unataka ifutwe!
kwani kipindi unaiandika ulikuwa umelewa..?
 
Mlikuwa mnafikiri ni mazingaombwe haya kwamba una-snap fingers na mambo yanakuwa? Wapo kule wazee wa demokrasia na Trump wao anakuja na wana wasiwasi balaa kuwa atafanya nini...

Rebeca83 - unapoanzisha thread jiamini hata kikinuka uwe tayari kutetea msimamo wako potelea mbali hata kama ni kulala Segerea - if you believe that it's worth it!
Mimi naamini kutiii mamlaka iliyoko madarakani na najiona kufanya vizuri katika kila sector ya maisha yangu. ..I do believe in POSITIVE THINKING, hivyo kila kitu kizuri kinanijia. ..NAMHESHIMU SANA SANA RAIS WANGU JPJM na serikali yote...kwa kufanya hivi POSITIVE ENERGY YA UNIVERSE inanisaidia mambo mengi sana. ...Have a nice day my friend
 
NAMWOMBEA RAIS JPJM NA SERIKALI YA TANZANIA. ..MWENYE ENZI MUNGU ATUONGOZE MILELE YOTE KATIKA JINA LA YAHUSHUA HA MASHAIC. .. AMEN RA
 
NAMWOMBEA RAIS JPJM NA SERIKALI YA TANZANIA. ..MWENYE ENZI MUNGU ATUONGOZE MILELE YOTE KATIKA JINA LA YAHUSHUA HA MASHAIC. .. AMEN RA

Safi sana mkuu. Magufuli yupo. Unamtaka humtaki......it's up to you. Hivi tukilalamika inatusaidia nini? Ukilaumu kwamba maisha in magumu yatakuwa marahisi instantly? Sana sana unajipa mastress ya bure.....unakuwa mlalamishi. Huoni jema lolote la nchi yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom