Usije uka Ben SaananeKwamba meli anayoiongoza inaenda mrama....
He doesn't know what to do anymore and doesn't care anymore...
Uwanja wa Chato na hizo ndege,ndio kumbukumbu yake akiondoka (legacy)....
Ulisikia wapi?kuna kipindi niliwahi sikia kwamba eti anayofanya Magufuli anaiga kwenye ilani ya Chadema.
Kidumuje sasa!Kidumu Chama Cha Mapinduzi........
lete hoja wew Lumumba kiroba ni kinywaji kama dompo upo mpaka hapoViroba ni janga la taifa