Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hapa mpaka ajitokeze msanii atoe nyimbo ya kuomba msamaha kama ile nyimbo ya "Im sory J.K " sijui ya msanii gani vilee, hivi hivi kama tunampigia mbuzi gitaa
 
Mkuu yupo sahihi anaamini kwenye majeshi basi.
 
Safi sana JPM anawanyoosha na kiingereza chao, Mkuu sisi shida ni sehemu ya maisha yetu.
 
Hawa ndiyo huwa wanapindua matokeo, JPM ngoja awanyooshe mpaka wapate akili.
 
wakuu kwa jinsi mambo yanavoenda katika nchi yetu tunaeleka wapi?au ni laana toka kwa mwenyezi mungu kwa tuliyoyafanya 2015.
Mungu inusuru Tanzania,Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake waliopo chini ya utawala huu wa ....
 
Ni aibu sana kujitambulisha kama mtanzania.....aibu sana,aibu kubwa,

Nchi ina mifumo vizuri kabisa....halafu inaachwa mifumo,watu wanajifanya wao ndio mifumo
 
hadi kufika 2020 tutashuhudia mengi ambayo hayajawahi tokea toka dunia ianzishwe
 
Ni aibu sana kujitambulisha kama mtanzania.....aibu sana,aibu kubwa,

Nchi ina mifumo vizuri kabisa....halafu inaachwa mifumo,watu wanajifanya wao ndio mifumo
Wakati wa kampeni 2015 tuliambiwa tatizo la nchi yetu ni mfumo. Leo mnasema nchi ina mifumo mizuri. Tuelewe lipi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…