Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mimi nilianza kumuona siyo mtetea wanyonge pale alipotoa amri mjini Arusha wastaafu ATCL wasilipwe haki zao za PPF hata baada ya PPF kuamriwa na mahakama kukamata mali za ATCL na kuzinadi kufidia madai ya wastaafu hao
 
Wabwia unga kazi mnayo....mlizoea vya kunyo ga[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Zigo hilooooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Hivi TOT wapo bado?
 
Mimi nilianza kumuona siyo mtetea wanyonge pale alipotoa amri mjini Arusha wastaafu ATCL wasilipwe haki zao za PPF hata baada ya PPF kuamriwa na mahakama kukamata mali za ATCL na kuzinadi kufidia madai ya wastaafu hao
Viatu vimepwaya sana,yawezekana pia hashauriki maana magogoni kuna watu na busara zao wengi.
 
Wabwia unga kazi mnayo....mlizoea vya kunyo ga[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Huna jipya,mbwia unga yule anaeweza kwenda msiban badala ya kufariji anaporomosha ugoro wa maneno,km vile mto ngono upo Kagera.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…