Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
unauhakika gani kama atamaliza muhula? ndo kwanzaaa ana ka mwaka kamoja kameisha... iliyobakia ni majaliwa kuikamilisha... omba apumzike au apumzishwe
 
Mnakula matapishi yenu hata kabla ya nusu ya Muhula wake kufika.
vitendo vyake vya kibaguzi na upendeleo vimewachosha siyo tu wanachama wa ccm bali pia watanzaniaq kwa ujumla wao. nani anapenda utawala wa visasi? kutesa watu, kufukuza watu kazi bil ushahidi thabiti!
 
Hivi, ukimsikia mtu anakwambia "msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mimi huwa napenda kusema ukweli..." halafu eyeee, ukifanya hivi nitafanya hivi. mimi ni mkweli....

lakini hapohapo kunakuwa na double standard kwenye kuwajibisha watu walioko chini yake, wengine wanaadibishwa, wengine wanaachwa waendelee kutamba, na hapohapo mtu huyo anayemtaja Mungu, anaonyesha visa na visirani vya waziwazi...na ikifika siku ya kusali huyo anaenda kugusa msalaba na kujifanya anaombewa. UTAMWELEWAJE MTU KAMA HUYO?

lets just be serious, sisi sio watoto wadogo ati. tuna akili zetu na elimu zetu..tujadili hili kwa ukweli toka moyoni ili wanaoongea kauli kama hizi wajifikirie kwanza kabla ya kufumbua mdomo.
 
"Huyu Ndiye Mwanawangu Mpendwa Ambaye nimemchagua, msikilizeni"
 
1.Rais kukosa busara mbele za wananchi badala yake kuhubiri chuki,ubaguzi na vitisho
2.Nchi kuongozwa kwa matamko yasiyo na ticha kwa maendeleo na ustawi wa taifa e.g bila cheti cha kuzaliwa hakuna kuoa,mtu mmoja kuwatisha wengine kuwafukuza mkoani kwake ilikhali naye yu ugenini
3.Serikali kustisha ajira kwa miaka mpya kwa miaka miwili bila ya kuwa na mbadala ingawa bado kuna upungufu wa wataalamu katika jamii m.f.n sekta ya afya,elimu..
4.Nchi kuendesha kwa vitisho na visasi vinavyopelekea kuiweka rehani amani na demokrasia yetu iliyokuwa imeanza kuzaa matunda kwa kuvutia wawekezaji
5.Tumbua tumbua za watumishi wa umma bila ya kufuata sheria hivyo serikali kujiongezea mziko wa watumishi wanaoendelea kulipwa mishahara pasipo kuwa na kazi hivyo kuongeza mzingo kwa taifa
6.Serikali kuendesha nchi bila ya kuwa na dira thabiti wamebaki kudakia kila lionekanalo mbele ya viongozi.tunashindwa kuelewa ni nchi ya viwanda au vi wonder na kiku za shelawadu
7.kuzuia bunge mubashara kwa kile kinachodhaniwa kuwakomoa wapinzani na kurusha mubashara sherehe binafsi katika tv ya taifa bila kujali kodi za walala hoi zinazoteketea bula faida
8.Kuendeshwa kwa chuki za wazi kwa wapinzani kwa kuwaweka rumande kwa kile wasemacho uchochezi.imekuwa nchi ya kidikteta asemalo MTUKUFU linakuwa sheria
9.Kudolola kwa huduma muhimu za jamii huku serikali ikitoa matamko yanayokatisha tamaa m.f.n ni ukosefu wa dawa kwenye hospitali za umma,upungufu wa chakula uliosababishwa na ukame,wanafunzi kusomea chini ya miti kwa kutekeleza sera ya mwendokasi
10.Kukosekana kwa pesa za mikopo kwa wanafunzi wa vyuo hivyo kwenda kinyume na moja ya sera zake katika uchaguzi[emoji22][emoji22][emoji22]



HIVYO NI MUDA KWA KIJANA WA KITANZANIA KUTAFAKARI MUSTAKABALI WA WANAE SASA



USIRUDIE KOSA 2020

R.I.P ZAMA ZA MAWE JEMBE NA NYUNDO
 
Hadithi za abunuasi, endelea kujifariji! CCM ni chama cha watanzania milele na milele!
 
Mwenye Enzi Mungu azidi kukubariki rais wetu
 
Mtazoea tu mabadiliko

Mazoea ya kuishi mlivyoishi zamani ndio msahau


Mh. JPM oyeeeeeee

Bila kumsahau

Kipenzi cha Watanzania naye ni

Mh. Makonda oyeeeeeee


Hapa kazi tu
 
Mtazoea tu mabadiliko

Mazoea ya kuishi mlivyoishi zamani ndio msahau


Mh. JPM oyeeeeeee

Bila kumsahau

Kipenzi cha Watanzania naye ni

Mh. Makonda oyeeeeeee


Hapa kazi tu
Hivi wewe mama/binti kila CCM na Serikali ikitajwa hata kama ni kwa facts wewe ni kushabikia tu na kuitetea?Acha hizo jiongeze basi sio kila kitu ni kuweka ukada mbele mama/binti.Wakati mwingine heri ukae kimya kuliko kuchangia kinafiki!!!
 
Hivi wewe mama/binti kila CCM na Serikali ikitajwa hata kama ni kwa facts wewe ni kushabikia tu na kuitetea?Acha hizo jiongeze basi sio kila kitu ni kuweka ukada mbele mama/binti.Wakati mwingine heri ukae kimya kuliko kuchangia kinafiki!!!

Ha ha haaaaa

Nashukuru kwa kuninoti kuwa mimi nimeshikilia msimamo wa kutetea hao wasio na tatizo lolote.

Uhuru na uamuzi ni wangu ndugu, na mimi naadika yanayojiri sifati mkumbo wa wanaovutwa na wachache.

Makonda oyeeeeeee

N.b. mimi sina chama
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…