Akili zetu watanzania ni '' shake well before'' yani nahisi we have a big problem in our mindsets kuliko tunavodhani. Alipita Mwinyi akasemwa alikua rais alieshikwa maskio na kupoteza thamani ya pesa sababu ya ''kila kitu ruksa'' kila mtu akawa na pesa hatimae ikapoteza thamani..Akaja Mkapa, akaambiwa yeye ndo kafilisisha viwanda vyote Tanzania. Akaja Kikwete yani hapo ndo sisemi, oh rais anaweka watu anaowajua, hana decision, analea mafisadi, oh tunahitaji rahisi mkali atakae simamia nchi..sasa Mungu akasikia maombi..akaja Tingatinga..he!
Mkali, hataki upuzi, kodi utalipa, hakuna uhuru to that extent mana tushazoea kutumia mindao hovyo, kazini utaenda mana hakuna dili tena, wafanyakazi hewa ondoa, watoto wanakaa chini hawana madawati, changia dawati kama unachangia harusi kwanini sio dawati, hakuna kusafiri hovyo, hiyo pesa kanunueni magodoro wamama wajawazito mwimbili wanalala chini,
wapeni magodoro, mikataba ya madini irudiwe tena, alie na uwezo wa kuinvest kwenye kiwanda aje mazingira yapo, jam zimezidi, tafuta wakandarasi by 2018 tz iwe na flyovers. Elimu bure, watoto wasome, walimu walipwe madai yao, maaskari walipwe madai yao, wazee walipwe madai yao,, mtaala wa elimu uangaliwe upya etc etc .na vitu viko kwenye progress....
lakini hata mika 3 haijapita..watanzania,, huyu rais dictator, taifa linapotea. Pesa zinakusanywa hazionekani..hivi unadhani hizo flyovers hao wakandarasi wanalipwa na pesa za misaada, au hayo madeni ya walimu etc yalilipwa na pesa za misaada? Watu wanataka walale waamke wakute tz iko marekani. We should take time kujifunza hayo mataifa yaliyoendelea how long did it took them to be where they are now!!!
And what did they go through... Kufunga mkanda lazima katika early stages..hao walioendelea tu wenyewe they workd day and night, taifa uchumi mzuri lakini people take hata 3 jobs na bado ni developed country. Sasa sembuse sisi. Tumeambiwa hapa kazi tu tung'aka... Sasa unataka ulale uamke ndo ukute maisha mazuri??
Do not ask what does the country do to you, ask what are you doing for the country!!!! Mwe! Mi sijui labda tunahitaji malaika. Mana nadhani tumekua wale wana wa israel, tutakaa jangwani miaka 40 mpaka akili zikae sawa.
Mkali, hataki upuzi, kodi utalipa, hakuna uhuru to that extent mana tushazoea kutumia mindao hovyo, kazini utaenda mana hakuna dili tena, wafanyakazi hewa ondoa, watoto wanakaa chini hawana madawati, changia dawati kama unachangia harusi kwanini sio dawati, hakuna kusafiri hovyo, hiyo pesa kanunueni magodoro wamama wajawazito mwimbili wanalala chini,
wapeni magodoro, mikataba ya madini irudiwe tena, alie na uwezo wa kuinvest kwenye kiwanda aje mazingira yapo, jam zimezidi, tafuta wakandarasi by 2018 tz iwe na flyovers. Elimu bure, watoto wasome, walimu walipwe madai yao, maaskari walipwe madai yao, wazee walipwe madai yao,, mtaala wa elimu uangaliwe upya etc etc .na vitu viko kwenye progress....
lakini hata mika 3 haijapita..watanzania,, huyu rais dictator, taifa linapotea. Pesa zinakusanywa hazionekani..hivi unadhani hizo flyovers hao wakandarasi wanalipwa na pesa za misaada, au hayo madeni ya walimu etc yalilipwa na pesa za misaada? Watu wanataka walale waamke wakute tz iko marekani. We should take time kujifunza hayo mataifa yaliyoendelea how long did it took them to be where they are now!!!
And what did they go through... Kufunga mkanda lazima katika early stages..hao walioendelea tu wenyewe they workd day and night, taifa uchumi mzuri lakini people take hata 3 jobs na bado ni developed country. Sasa sembuse sisi. Tumeambiwa hapa kazi tu tung'aka... Sasa unataka ulale uamke ndo ukute maisha mazuri??
Do not ask what does the country do to you, ask what are you doing for the country!!!! Mwe! Mi sijui labda tunahitaji malaika. Mana nadhani tumekua wale wana wa israel, tutakaa jangwani miaka 40 mpaka akili zikae sawa.