Bururu
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 877
- 584
Unataka tumwamini nani sasa kama Mh Rais si wa kuamini?Bila shaka wanajamvi mko wazima, hii mada niliwai kuizungumzia mara mbili kupitia vituo vya redio mbali mbali .Mh.Rais wetu sio mtu wa kuamini katika maamuzi yake ambayo amekua akiyafanya ata kabla ajawa Rais wetu. Ukifuatilia madhara ya maamuzi yake bila shaka utaona ni jinsi gani anavyorigharim ili Taifa. Nitajaribu kulikumbusha Taifa ili huko nyuma huyu mtu amefanya nini
1. Akiwa waziri wa mifugo na uvuvi tunakumbuka hasara ya kukamatwa bila kufuata taratibu ile Meli ya Wachina
2. Akiwa ujenzi tunajua nini kilitokea kwenye Ujenzi wa bara bara mfano zilizo chini ya kiwango,utapeli kwenye fidia, n.a. upotevu wa pesa mfano 284million
3. Ununuzi wa meli/kivuko kilichotumika na kibovu Mv Dar Es Salaam
4. Akiwa waziri wa nyumba na ardhi bila shaka mengi mabovu yalitendeka wakati wizara ikiwa chini yake
5. Akiwa kama mbunge na waziri ameshiriki kama mwanaccm mwenzangu kupitisha sera na sheria mbovu kwenye madini tena kwa kusifia sana sasa leo eti amekuja na nyimbo mpya.
6. Lakini pia akiwa waziri na mbunge leo tena ni mkuu ameshiriki katika mambo ambayo yamefanywa na wanaccm mfano sakata la LUGUMI,Escrow,EPA nk
Sasa leo anafanya maamuzi kama haya huku tukijua huko nyuma alivyoligharim Taifa alafu bado watu wanakua n.a. imani n.a. huyu mtu.
Tusubiri tena hasara ndo labda tutatoka kwenye usingizi mzito
Dr Slaa
Prf Lipumba?
F Mbowe?
Z..kabwe?
T. Lissu
au Mzee wa Upako? au Gwajima?