Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Bila shaka wanajamvi mko wazima, hii mada niliwai kuizungumzia mara mbili kupitia vituo vya redio mbali mbali .Mh.Rais wetu sio mtu wa kuamini katika maamuzi yake ambayo amekua akiyafanya ata kabla ajawa Rais wetu. Ukifuatilia madhara ya maamuzi yake bila shaka utaona ni jinsi gani anavyorigharim ili Taifa. Nitajaribu kulikumbusha Taifa ili huko nyuma huyu mtu amefanya nini

1. Akiwa waziri wa mifugo na uvuvi tunakumbuka hasara ya kukamatwa bila kufuata taratibu ile Meli ya Wachina

2. Akiwa ujenzi tunajua nini kilitokea kwenye Ujenzi wa bara bara mfano zilizo chini ya kiwango,utapeli kwenye fidia, n.a. upotevu wa pesa mfano 284million

3. Ununuzi wa meli/kivuko kilichotumika na kibovu Mv Dar Es Salaam

4. Akiwa waziri wa nyumba na ardhi bila shaka mengi mabovu yalitendeka wakati wizara ikiwa chini yake

5. Akiwa kama mbunge na waziri ameshiriki kama mwanaccm mwenzangu kupitisha sera na sheria mbovu kwenye madini tena kwa kusifia sana sasa leo eti amekuja na nyimbo mpya.

6. Lakini pia akiwa waziri na mbunge leo tena ni mkuu ameshiriki katika mambo ambayo yamefanywa na wanaccm mfano sakata la LUGUMI,Escrow,EPA nk
Sasa leo anafanya maamuzi kama haya huku tukijua huko nyuma alivyoligharim Taifa alafu bado watu wanakua n.a. imani n.a. huyu mtu.

Tusubiri tena hasara ndo labda tutatoka kwenye usingizi mzito
Unataka tumwamini nani sasa kama Mh Rais si wa kuamini?
Dr Slaa
Prf Lipumba?
F Mbowe?
Z..kabwe?
T. Lissu
au Mzee wa Upako? au Gwajima?
 
MODS huu ni utapeli sasa...hii mada ni tofauti na mada ulio unganisha ...Au umeona nikianzisha mada tofauti na unayo amini basi ni tatizo
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?

Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
ili jipu ipone shurti damu itoke ... na bado hamjaipata fresh ... sisi wakolomije si waspoti spoti bana ...
 
Moderators.... Mmekua influenced na Lizabon ... Okay narudia... Tumetekwa siasa puuzi na kusahau mambo ya msingi kama ifuatavyo...

1. UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMA...... ukatili wa mikataba ya kazi.

2. AJIRA KWA WALIMU WA SCIENCE .... HEWA

3. TAMKO LA KIKATILI LA MAMA KAIRUKI JUU YA KUPANDA MADARAJA KWA WATUMISHI .... eti hadi mafunzo maalumu... Ukatili mkubwa.

4.Serikali ya MAGUFULI kukiuka mkataba halali wa kisheria kutoka kukatwa 8% hadi kufikia 15%.... HII NI AIBU KUBWA. BUNGE NA SERIKALI HAPA WOTE MMEKUA WAUAJI NA MAJAMBAZI....

5.KUENDELEA KUPANDA KWA GHARAMA ZA MAISHA KILA UCHAO.

6. MILIONI HAMSINI ZA KILA KIJIJI ZIKO WAPI....


Naongea na RAIS.

Lizaboni Acha mihemko.

Nataka majibu toka ikulu.


UFUTENI NA HUU...
 
Moderators.... Mmekua influenced na Lizabon ... Okay narudia... Tumetekwa siasa puuzi na kusahau mambo ya msingi kama ifuatavyo...

1. UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMA...... ukatili wa mikataba ya kazi.

2. AJIRA KWA WALIMU WA SCIENCE .... HEWA

3. TAMKO LA KIKATILI LA MAMA KAIRUKI JUU YA KUPANDA MADARAJA KWA WATUMISHI .... eti hadi mafunzo maalumu... Ukatili mkubwa.

4.Serikali ya MAGUFULI kukiuka mkataba halali wa kisheria kutoka kukatwa 8% hadi kufikia 15%.... HII NI AIBU KUBWA. BUNGE NA SERIKALI HAPA WOTE MMEKUA WAUAJI NA MAJAMBAZI....

5.KUENDELEA KUPANDA KWA GHARAMA ZA MAISHA KILA UCHAO.

6. MILIONI HAMSINI ZA KILA KIJIJI ZIKO WAPI....


Naongea na RAIS.

Lizaboni Acha mihemko.

Nataka majibu toka ikulu.


UFUTENI NA HUU...
Wamemyutt[emoji200] pori
Mbona hawafuti[emoji196] wa lumumba
 
Hapana, anatumbua watu kama wewe yaani wababishaji wa mjni. Mnajazana tu mjini hamna mnalofanya, kazi porojo tu,
kaoshe makalio weyee... ushegongwa 3 zinakutosha ndo mana ubongo umelegea hamjitambui😎 mbugila wa lumumbaz
 
kaoshe makalio weyee... ushegongwa 3 zinakutosha ndo mana ubongo umelegea hamjitambui😎 mbugila wa lumumbaz


Kumbe ni mlalahoi MWALLA ndo anasema hayaaa, mi nilifikiri mtu wa maana? Una bahati uko mbilikimo sikuoni, ila ungekuwa mrefu ningekukamata na kukufayizia.
 
Kumbe ni mlalahoi MWALLA ndo anasema hayaaa, mi nilifikiri mtu wa maana? Una bahati uko mbilikimo sikuoni, ila ungekuwa mrefu ningekukamata na kukufayizia.
Ona[emoji90] [emoji87] jingine hili hivi nyie zombiez wa lumumba huyu mume wenu sizonje[emoji196]atakuwa kawamwagia upako Mbaya sana.
Muulizeni bashit yy ndo anamwagiwa upako mlaini awasaidie
 
U
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?

Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
UMEPOTEA HUKU UMEKUJA KUFANYA NINI FANURU
 
Ona[emoji90] [emoji87] jingine hili hivi nyie zombiez wa lumumba huyu mume wenu sizonje[emoji196]atakuwa kawamwagia upako Mbaya sana.
Muulizeni bashit yy ndo anamwagiwa upako mlaini awasaidie


We MWALLA weweee, shauri yako, ntakushikisha ukuta.....jichunge sana.
 
Bidhaa
Sukari dukani kilo ilikuwa sh 1800 Leo kilo 2500 hadi 2200.
Unga wa Sembe dukani kilo ulikuwa unauzwa 1300 hadi 1400. Leo kilo 1800 hadi 2200
Maharage kilo ilikuwa sh 1500 hadi 1600. Leo 2200. hadi 2500
Ajira
Serikali ilikuwa inaajiri watumishi zaidi ya 60000 kila mwaka kada zote . Leo Jpm sijui kamuajir nani. ?
Biashara
Hii ndo imedorora hatari. ...yaan wafanyabiashara wamekua wakali kama nyuki.
Democracy
Demokrasia imeshuka sana kamata kamata ...hira za kudhoofisha upinzani ,kuzuia Mikutano ya hadhara (civil right.)
Matumizi ya ubabe
Hii ndo (hot cake)....yaan viongozi wanafanya yale wayatakayo kama vile uvamizi wa media na kutamka hadharan kuwa wao hawapangiwi la kufanya (their are not under the rule of law )
........
Hebu ongezea na kupunguza zinazokukera ......
Povu ruhusa. ..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ama kweli ...Hapa kazi tu. ...mtu anaichoma moto nyumba yake mwenyewe Leo kwenye kuifanyia marekebisho tena kuta bado zina masizi anasifiwa. ...?...hii ni akili ya 1/4
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom