ukweli watanzania hatuna haja na ndege kivile zilikuwa kiki tu ila upi mpango msdhubuti wa kuondoa uduni huu wa maisha kwa mtanzania ,walisema ml 50 kila kijiji badala yake wamekopa mpaka trl 60 deni la taifa sasa huyu mwananchi atakuelewa kweli ,pia walikuwa wanakusanya madeni ya zamani wanadanganya wamevuka target duh ... hii serikali full magizo