Mkuu amani ni zaidi ya kutokuwa na vita! Na kama hamna vita haimaanishi kuwa kuna amani, hata hili la makonda kumtukana mtumishi wa uma (kichaa) na udhalilishaji mwingine, inaondoa amani kwa jamii" kauli za huyu bwana anapohutubia zinajenga hofu kubwa ktk jamii mf ( badala ya kukemea uvamizi wa clouds, alimuelekeza mvamizi aendelee kuchapa kazi!) Je kesho ni zamu ya nani kuvamiwa!?
Hakuna amani mkuu, kinyume chake kuna ombwe kubwa la sononi na hofu mioyoni mwa raia wa nchi hii!
Sijui kama unakumbu kuwa tz. Ipo ktk nchi ambazo raia wake wanaongoza kwa kutokuwa na furaha, hizi kauli za kichochezi\ kutishia raia kutoka kwa mkulu na mafisi wenzake zinaondoa kbs hata raha ya kujisikia fahari kuwa mtz!