Utadhani mtu mzima anacheza michezo ya kitoto kumbe ndio tunaishi hiviii.....[emoji2] [emoji2]
Salute!...
Kiufupi sana kwa hili la vyeti sijakubaliana hata kidogo na maelezo ya serkali kuhusu vyeti feki,inaonesha wanaokaa kwenye vyombo vya maamzi hakika wapo kwa ajili ya kuteteana tu.na sio kuwatetea wananchi.
"Mtukufu rais usiwe unasema wewe ni rais wa wawanyonge sema wewe ni rais wawanyongwa"
Kuna vitu kwa ulimwengu wa leo,kwa namna tulipofikia unasema unaenda kuwafukuza watu 9932 kazi lakini muda huohuo unasemma hawa wengine wao haina shida,.
Nilichogundua mimi TANZANIA KUGUSHI VYETI WALA SIO TATIZO,Na hasa ukigushi then ukapata bahati ya kuwa mkuu wa mkoa wala hakuna shida.
Sasa maajabu wakuu wa wilaya,na mikoa ndio wanaosimamia uhakiki wa vyeti kwenye maeneo yao,wataitendeaje haki ili hali wao pia waligushi?
Manalipeleka wapi taifa?.
Hao manaowatetea ndio wanakula mishahara minono,wanalindwa na kupewa posho,nyumba,magari lakini eti sharti wajue kusoma na kuandika tu.
Ndio maana watoto mashuleni hawasomi maana hawaoni FUTURE YEYOTE MBELE,mtu anajua kusoma tu anaoishi vizuri,wakati huohuo mtu anakomaa anasoma degree yake miaka kadhaa hata kazi tu kupata ni shida.Then mnataka watoto wasome watasemaje ilinhali mnashindwa ku-demonstrate faida za kusoma na hasara za kutosoma?...ACHENI MAHABA YA AJABU AJABU NA YASIYO NA MAANA KWENYE MAMBO YA MSINGI.