Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kwa hili nimeamini kweli huyu Bashite ana vyeti feki na wengi wapo kwenye huu utumishi wa umma wasio na sifa sitahiki wanalindana ila hakuna marefu yasio na mwisho sheria zipo wazi kiswahili chetu kiatupa uwezo wa kudadisi zaidi.
 
Narudia tena na ntasema tena.. Tanzania wapiga kura tunadharaulika sana hasa awamu hii
 
Sio kweli kuwa nikiwa ccm nakubaliana na kubalianana kila jambo.ndio mana nikasema kwa hili japo mim ni ccm sikubaliani nalo na wala si kosa kwa mwanaccm kutoa mawazo yake..
 
Watz mtakoma na serikali yenu si wengine tumejikataaa tupo bondeni huku tunatibu watswana endeleeni kusema hapa kazi tuuuu fyuuuu
nadhani umebeba ukoo wako wote upo uko ulipo, vinginevyo tunakoma wote mpaka ndugu zako kasoro wewe tu wa bondeni.
 
Kikawaida unapotea kama unajua unapoelekea. Kwa hali ilivyo sasa. Kwa kuwa hatujui tunapoelekea for sure hatujapotea na nnachoweza kusema tupo kwenye roli na roli linachanja buga kuelekea tusipokujua.
Labda umepotea wewe na familia yako. Mlizoe Upigaji, Sasa Kila Kona Kumebana Mnalalamika, Na bado. Piga Kazi Rais JPM

Binafsi nadhani ana nia nzuri.

Lakini sidhani anajua anakoelekea.....

Yupo yupo tu.
 
Na kwa kuwa hata sisi wenyewe hatujui tunataka kwenda wapi, wacha tu lori liende linapoenda, labda huko mbeleni tutajua tunaenda wapi then tutaamua.
 
Eti sifa ya mteule wa Rais ni kusoma na kuandika kweli? Historia itamuhukumu Kairuki
 

Kwa hotuba za Rais za hivi karibuni na kabisa za wiki hii nahisi kama tumefika mahala pameandikwa "Hakuna Njia" na hatuna maarifa mengine!🙁😵😱
 
Magufuli anatupeleka kule tulikotakiwa kwenda au kuwepo miaka mingi iliyopita. Kutokana na vitendo vya ufisadi tumechelewa mpaka sasa tupo hapa tulipo.
Kwa anatutoa hapa tulipo na kutupeleka mbele kimaendeleo.
 
KWA sababu we mwenyewe hujui maisha yako utatoka vipi ndivyo hivyo hivyo magu anataka watu mjue mnatoka vipi labda nikufundishe njia bora ya kujua jukumu lako kama mwananchi selikari yoyote duniani husimamia usalam,amani na kuelekeza selikari njinsi ya kufanya ili maisha ya wananchi yaendelee kwahiyo kama unasubili magu akusaidie kutoka zero to higher ni ngumu sana HAKUNA raisi anayependwa duniani kama magu angalia aljazera world asubuhi wameonyesha.
 
Sio kweli kuwa nikiwa ccm nakubaliana na kubalianana kila jambo.ndio mana nikasema kwa hili japo mim ni ccm sikubaliani nalo na wala si kosa kwa mwanaccm kutoa mawazo yake..
Hahah mkuu bwana sasa unawezaje kuwa kwenye chama cha wakulima then ukawa huna interest na kilimo,ama chama cha kutetea haki za mashoga then ukawa huusapoti ushoga.Hivi unafahamu maana ya chama kweli mkuu?
 
Unaupeo mdogo wakufikiri yani umezidiwa hata na kuku
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…