chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hhhaaaa ...Bro anapaswa kusababishwa azilipe hizo pesa...sasa sijui atazitolea kupitia wapi>?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhaaaa ...Bro anapaswa kusababishwa azilipe hizo pesa...sasa sijui atazitolea kupitia wapi>?
khaaaa....utalipa wewe kupitia kodi unayolipa...na watawala wanaona fresh tuHayo madeni yatalipwa kwa kutumia misaada mbalimbali tunayopokea kutoka kwa wahisani, mfano pesa ya Thisisbillgates.
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Watawala wetu wanahitaji maombikhaaaa....utalipa wewe kupitia kodi unayolipa...na watawala wanaona fresh tu
Kupitia sehemu yoyote ile iliyo waziBro anapaswa kusababishwa azilipe hizo pesa...sasa sijui atazitolea kupitia wapi>?
Unahisi gharama ya kuvunja mkataba inazidi thamani ya madini yaliyopo? Kama jibu ni NDIYO hamna haja ya kuuvunja huo mkataba, ila kama jibu ni SIYO mkataba huo wa kinyonyaji uvunjwe! Hatuwezi kukubali kuendelea kuona tukiibiwa kwa kuhofia gharama za kuvunja mikataba hiyo mibovu.
Mleta uzi kasema tunatakiwa kuwalipa acacia 5 trillions kwa kuvunja mkataba.Hahahhahah...ndivyo mnavyodanganya watu???? hapo mmeshitakiwa kwa kuzuia makininkia..mahakama itawaamuru kuilipa Tanzania...na itawaamuru muyaachie makinikia
Acacia wana bima ya kimataifa inayodhaminiwa na benki ya dunia,wakishinda tukakataa kuwalipa,wanaenda benki ya dunia,benki ya Dunia inaanza kusaka akaunti za serikali nje ya nchi pamoja na Mali za TanzaniaIli tusilipe yaan tuwadhulumu inabidi awe rais wa milele!
sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
angalau wewe hujalipuuza!Ukiona bandiko limepitiwa na watu 142 wamechangia watu 8 ujue wachangiaji wamegundua una akili za Lisu ndiomaana wamelipuuzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
mjanja yule, keshashtukia hilo, haendi nje! (unadhani ye mjinga?) hahahaaa!Huyu mtu siku akisafiri kwenda nje, wadai wake wamubinafsishe asirudi tena nchini.
Kwa katiba hii ya ccm na tume hii ya uchaguzi hilo SAHAU.Tutamtawanya vibaya sana 2020...
Come soon...