Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Unauliza swali halafu unajijibu, hivi nyie watu mnatumia kichwa gani kuwaza, hivi Magu kamaliza rushwa ipi? Uwajibikaji upi sehemu za kazi maeneo mengi bado yapo vilevile nenda polisi, nenda mahakamani uone kama kuna mabadiliko, madawa hospitali hakuna, mnasifia kana kwamba nyie tu ndio mnaishi Tanzania.
 
Acha ujinga,hujui kuwa maamuzi mabovu ya kiongozi,na kutofuata sera pamoja na ukiukwaji wa katiba ndio umaskini wa mtu?

Acha mahaba kwa huyo kiazi wenu.
Chonde chonde utaitwa mchochezi. Jaribu kumuita mtetezi wa wanyonge. Japo napata wakati mgumu kujua wanyonge anaowataja ni watu wa aina gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa kweli natambua 'Concern' yako. Unayo nia njema lakn kama wengi wetu una wasiwasi na hali ya mambo yanavyokwenda. Umekatiza usingizi na kutoa dukuduku. Ni wachache sana wanaweza kutii dhamira zao kama ulivyofanya.
BARIKIWA SANA
 

Ni kujitoa akili kufikiri kwamba Rais wa nchi ndo anajua kila kitu na wengine wote wanatakiwa kufuata bila kuhoji au kukosoa. NI KUKOSA AKILI NA UFAHAMU WA MASUALA
 
Kwahiyo watanzania hawafanyi kazi? Wewe na huyo rais wako ndio unawalisha? Acheni kukaririshwa maneno na wanasiasa, kuna watu wanafanya kazi tena kwa kujituma sana lakini ndio hivyo mfumo wa maisha ni mbaya wanaishia kuwa masikini.
 

Jamani hata Israeli walipotolewa Misri walisafiri miaka 40 kabla ya kufika kwenye nchi iliyojaa maziwa, na asali. Walipokuwa njiani wengine walimlaumu Musa sana kwa kuwatoa Misri ambako hata hivyo walikuwa utumwani. Ningesema watakaofaidi makundi ya juhudi za sasa za uongozi wa serikali hii ya awamu ya tano ni wale walio watoto na vijana wadogo sasa. Dominica Republic ina hali nzuri angalau kuliko baadhi ya jirani zake kwa sababu ya juhudi za Rafael Trujillo, Rais wao miaka ya sitini. Singapore imefika hapo kutokana Na maongozi thabiti ya Lee Kuan Yew miaka ya sabini.
 

Kinachowasumbua ni selfishness mpo tayar kutetea amewapa mavyeo yenye mshahara mnono tu.

Ndivyo miafrika tulivyo,umeona wapi harakat za mapinduzi zimefanywa na watu wanaoenjoy national cake???Hata IDD Amin alikua na watu km ww
 
- Ajira hakuna mwaka wa tatu sasa ( Wao wanateuana kula kila leo )
- Mikopo vyuoni kupata kwa tochi
- Increments hakuna ( Wengine wanalipana posho ya laki 4 kwa siku )
- Machinga, Bodaboda na Waosha Magari wanasulubiwa kila leo
- JKT nafasi hazitoki, Jeshini vyeo havipandi
- Mbaazi kwa sasa hata 100 kwa kilo hazinunuliwi
- Pesa zote anataka ale yeye, kundi lake na kulipa wazungu anaowatia hasara

Na Ndo mwaka wa pili sasa na Ndoto za vijana zinakufa kwa KASI !
 
This absolutely non sense,gari limepoteza mwelekeo linayumba alafu unawambia abiria vumilie tu itafka.Unatoa huu ushuzi kwa sababu amekushibisha, kwa hali ya kawaida huwezi kumtetea mtu huyo kama sio jamii yake,hii haiwezekani ni common sense tu
 
.
Mkuu, tafadhali ainisha hapa hayo maisha mabaya wanayoishi watu. Pia tuwekee hapa ni kwa namna gani kiongozi anawatesa watu.

ANGALIA HAPA:

1. Watu wanabomolewa nyumba zao bila fidia yyte huku wakiwa na vibali halali vya ujenzi mikononi mwao na hata zuio la mahakama linadharauliwa

2. Kodi za ajabu ajabu katika Biashara ndogo ndogo. Kiduka cha mtaani tulichokuwa tunalipa sh elf70 sasa hivi tunatakiwa kulipa taki 3, nikishindwa kupata hiza lak3 unaniambia funga acha biashara..?? Kweli???? Nina watoto

3. Ninatakiwa kufanya siasa ndo kula yangu, unapiga marufuku siasa, ninaishi jee?? Hii ni kazi yangu. Kwa nini uniweke mahabusu kwa kuhudhuria mkutano wa kisiasa jimbo la jirani yangu?? Hiyo ni kazi yangu. Nimekosa wapi kwa sheria zetu??

4.Nimekosaoa Serikali kwa kutoa maoni yangu, kwa nini nikamatwe na vyombo vya dola?? Kukosoa ni dhambi?? Kwa nini nikae mahabusu
 
Hivi wengi naona munapingana na mtoa mada na kumuambia kua sjui anataka rais agawe pesa kwa wananchi , sjui mara life style , sjui watu wanaishi maisha nje na uwezo wao

Hivi nyinyi wote mnao ongea hivi munaishi tz kwel ??
Nina mashaka sna kua wote mnaongea mkiwa out of tz

Mtoa mada kazungumzia kuhusu maamuz mambov ya hasira anayochkua kiongoz ambayo mwisho yanatugharimu kama taifa

Hivi ww nchi ikiingia hasara unajua nn kinafata ?? Kodi zitaongezwa yaan utakamuliwa ww raia to to infinity ili serikal ilipe maden hata km ulikua na biashara zko bas somehow zitayumba hadi unakuja ku adapt isha take time ,

Hivi unajua ni wawekezaj wangap ambao wameondoka tz baada ya hii hali ya hapa kuwa moto ajira za watu weng sna zimetoweka , na opportunity ngap za ajira kwa vijana zimekua hazipo tena ktk awamu ya sasa

Je hivi si kutufanya tuwe maskini ?

In short we live once , maguful acha kuharibu future zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ati nini? hakuna raisi anaegawa pesa ? Mbona hata vyombo vya habari hurushwa wkt ngawira zikigawiwa ? na hawasemi ni msaada.
 
kwa hiyo mifano yako uliyotoa hapo sijaribu kuamini kama umefika hata kidato cha nne na kupata walau divisheni 4 ya 31.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwani kuna sehemu nimesema nimefika hata hiyo secondary? Mbona mnapenda kutunyanyapaa ambao hatujasoma? Inamaana tanzania wanaostahili kutoa maoni au mawazo ni waliosoma tuu? Acha ubaguzi, tanzania ni yetu sote regardless kiwango cha elimu, na yawezekana wewe hata kuandika umejifunzia kwenye smartphone
 

Acha kuwa na mawazo ya kifukara kiasi hicho wewe, kwanini uko hopeless kiasi hiki?
 
Hivi kwani na wewe ni mgeni wa nchi hii!?
 
Kuwa na double standard pia ni ufisadi,kuajiri watoto wa ndugu katika nafasi muhim kwa upendeleo ni ufisadi,kutumia pesa za serikali bila kufuata utaratibu ni ufisadi.,kuikanyaga katiba ni ufisadi uliopindukia.wewe ufai kuwa kiongoz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…