Najua umenielewa,basi tu.Mkuu kwani Katiba haimruhusu kama akichaguliwa kuendelea na miaka mwingine mitano baada ya kipindi chake cha kwanza cha miaka mitano kwisha?Au ni ubishi ule ule wa akina Halima na Lissu.Miaka kumi! Hivi kumbe mmeisha badilisha katiba?
This isn't about complaining its all about challenging
Wewe upo Tanzania?Hiyo takwimu ya kila mtu ananalamika umeitoa wapi? Labda kama ya mtaani unakoishi ndio wanalalamika pasi kujua tatizo wanalo wao.
Kupambana kwetu inategemea na Sera bora za serkali kuhusu uchumi wa nchi yetu"Ukiwa Raisi unatakiwa ujue hali za wananchi wako na kuzifanya ziwe bora",,raisi anapigania matatizo ya jumla kama elimu,dawa,barabara,maji,umeme na miundo mbinu kwa ujumla,tatizo nyie mnaongelea matatizo binafsi ndo maana nilikupa mifano fulani.Ok.. mfano mwingine USA tunaiita LAND OF OPPORTUNITY,ila marekani hiyo hiyo kuna wabongo kibao wanalalamika mambo magumu na kulalamikia system,tofauti kule unakufa kivyako tu,hakuna wakukusikiliza,maana yangu ni kuwa mtu mweusi ameumbwa mlalamishi sana.Tangu serikali ya Nyerere mpaka hii awamu ya tano hakuna siku watu hawajalalamikia serikali hata ingefanya nini.Pambaneni na hali zenu.
Any decision you make in life you are responsible for itMaisha hayajirudii Mara mbili tunahitaji kupiga hatua, tunataka maamuzi yenye tija kwa nchi sio maamuzi yenye hasara kila kukicha.
Magufuli wewe ni mkuu wa nchi, tumekupa kila kitu ili uwe dereva wa nchi yetu.
Sasa kwanini unakosea kila maamuzi unayofanya? Ni kweli watanzania tulikosea kukuchagua?
Magufuli kuwa fisadi sio kuiba Mali ya umma tu hata kulitia Taifa hasara kutokana na maamuzi ya hasira na yasiyofuata sheria ni ufisadi.
Tulikuamini, tukasema Tanzania imepata Nyerere mpya lakini imekuwa tofauti.
Tupo njia panda mkuu Magu hatujui jahazi laenda kus au kas.
Tuliza kichwa Fanya maamuzi sahihi usituharibie nchi.
We live once, miaka mitano au kumi inatosha kabisa kuharibu maisha ya watu kutokana na Sera zako.
This is a wake up call
02 : 35
Sep.05.2017
Usiku mwema
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Mkuu unaweza kuwa na mawazo sahihi katika ego moja but ukaacha kundi kubwa la watuNchi iko sawa tu..Kwa mfano ukiwa nje ya nchi,ukapitia Jamii Forums kwa wiki 3 au 4 mfululizo,unaweza ukafikiria Tanzania inaungua moto,labda watu hawali hata mchana kwa malalamiko ya humu,ila ukifika bongo ni picha tofauti kabisa,maisha yanaendelea kama kawaida.Kuna mtu alianzisha uzi hapa september mwaka jana akidai hali ya uchumi ni mbaya sana hata wiki tatu hazitaisha yaweza tokea hatari yoyote uchumi usipobadilika,baadae nikagundua yawezekana ilikuwa deadline yake ya kulipa kodi asitolewe vitu nje au kitu kama hicho.Wengi wakizidiwa madeni wanakimbilia JF kulalamika.
Wasikukatishe tamaa hao mkuu,ni wale Mwalimu Nyerere aliosema watazomea kila jambo jema kiongozi analolofanya kwa niaba ya mapebari.Hao ni makuadi wa mabepari achana nao.Mimi nawaita "huyoo huyoo" maneno ambayo Mwalimu alitumia.Tena ule mchele wa tsh.2000 sasa ni 1500. Kitoweo toka tsh7000 hadi 5000. Maji nilikua nalipa tsh 80,000/ kwa mwezi sasa nalipa tsh. 30,000/tena maji safi na ya kutosha. Hapo awali maji yalikua na matope/mchanga. Ujambazi katika eneo letu sasa umepotea. Kwangu maisha yamekua bora zaidi kuliko wakati ule. Sasa hivi nimeanza kununua matofali 300 kwa mwezi na nina matumaini baada ya miezi 10 nitaanza kujenga. Namshukuru sana JPM.
.
Mkuu, tafadhali ainisha hapa hayo maisha mabaya wanayoishi watu. Pia tuwekee hapa ni kwa namna gani kiongozi anawatesa watu.
Pia kumbuka hakuna mtu aliyekatazwa kuwa tajiri. Ufukara wa watu ni kutokana na lifestyle yao mkuu, hakuna kiongozi atakuja awe anagawa pesa kwa watu ili kuwakwamua kiuchumi. Kama mnategemea hicho sahauni, hata mitume wakishuka hawataweza kuwaridhisha.
Mara nyingine watu kama nyie ndio mnapalilia umaskini hapa nchini kwa kuamini na kuhubiri kuwa umaskini unasababishwa na serikali. Tumieni raslimali na nguvu zenu kujikwamua, msingoje serikali iwawekee mabomba ya maziwa na asali.
Ufukara au umaskini uletwa na Tawala mbovu ktk Nchi Husika ....Ufukara hauletwi na Raisi wa nchi yoyote,wala hakuna Raisi anayegawa pesa,tafuta alternative pale ulipo kwa namna yako,swala la kulalamikia serikali lipo miaka yote na nchi nyingi za Africa,hatupendi kufanya kazi,tunataka shortcut,tunaishi nje ya uwezo wetu,tunapenda kubahatisha,huna uwezo wa kuweka mafuta kwenye gari unanunua gari la CC 2500 au 3000,umetoka chuo juzi juzi unatangaza ndoa fasta na budget mil 25,mshahara laki 8 unamlipia mtoto milioni 2 kwa mwaka school bus laki na 60 kwa mwezi tena nursery.Kumbe ni michongo ya ofisini,uongozi ukibadilika akaingia mwingine mambo yakabadilika unalalamikia serikali,ikusaidieje?,.,.Kwa waliozoea kula kwa jasho na kuishi ndani ya uwezo tunaona ni poa tu.Kila mtu apambane na hali yake hakuna namna.
Huu ni ushauri mzuri kabisatatizo lenu meweka high expectations,
na yeye ni binadamu,
mie naamini kwenye mgawanyo wa madaraka,
Nchi igawanywe katika zones,
east wawe na kiongozi wao,
west zone,wawe na wa kwao,
north and south wawe na viongozi wao,
Rais awe mtendaji mkuu wa zones zote,hii itampunguzia mzigo,sio leo makanikia kule,leo sijui vichwa vya treni,for one person its a lot take on,
Kufukuzwa kazi ni makosa ya mtu bnafis haiusiani na uchumi wa nchi kuporomoka au kugandaKwa maana hiyo unataka watu wasifukuzwe kazi hata kama hawastahili kuwepo kazini? Ndicho hiki kutu mnacholilia?
Nitaelewa nini mkuuUkikua utaelewa Ila kwa Sasa una haki ya kufikiria hivyo
Wananchi ndio wakora!'Zip up your boots Magu and advance forward' usisikilize vilio vya WAKORA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ni wapiga kura
Unataka kusema wananchi wote tunaufahamu wa kitoto isipokuwa kiongozi wetu mkuu?, nauliza hivyo kwa kuzingatia mfano uliotoa wa mzazi na watoto. kwa kuwa watoto wanakuwa bado hawajapevuka kiakili lakini kwa hili la raisi na wananchi wenzake ni mwafaka kwa mfano wako?.Hii ni sawa tu na watoto kumlalamikia baba au mama yao kuwa ni mnoko anawapa wakati mgumu. Sawa, kwa uelewa wao mdogo wanakuwa sahihi, lakini kwa aliyepevuka kiakili atagundua kuwa wakifanyacho wazazi kwa watoto ni sahihi. Mwisho wa siku hao hao watoto, wakishafikia umri wa utu uzima, watajirudi na kuanza kuwasifia wazazi wao kwa kuwapa malezi safi kabisa yaliyowajenga kimaadili.
Hakuna mzazi mwenye nia mbaya na makuzi ya mwanae. Vilevile mzazi akifuata maelekezo au malalamiko ya watoto kuhusu malezi kwa hakika ataharibu tu mfumo mzima wa malezi bora.
Mkuu kuna mambo mengi hayapo sawaNilitegemea kuona sehem alipokosea sana hadi ukaamua kuandika uzi huu... Usiwe kama asilimia kubwa ya waandishi wa tanzania kuchukua habari kwenye mitandao na kuandika bila uchunguzi wa kina. Toa ufafanuzi wapi amekosea sana ili ajue ajirekebishe wapi mana kila mtu hukosea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufukara hauletwi na Raisi wa nchi yoyote,wala hakuna Raisi anayegawa pesa,tafuta alternative pale ulipo kwa namna yako,swala la kulalamikia serikali lipo miaka yote na nchi nyingi za Africa,hatupendi kufanya kazi,tunataka shortcut,tunaishi nje ya uwezo wetu,tunapenda kubahatisha,huna uwezo wa kuweka mafuta kwenye gari unanunua gari la CC 2500 au 3000,umetoka chuo juzi juzi unatangaza ndoa fasta na budget mil 25,mshahara laki 8 unamlipia mtoto milioni 2 kwa mwaka school bus laki na 60 kwa mwezi tena nursery.Kumbe ni michongo ya ofisini,uongozi ukibadilika akaingia mwingine mambo yakabadilika unalalamikia serikali,ikusaidieje?,.,.Kwa waliozoea kula kwa jasho na kuishi ndani ya uwezo tunaona ni poa tu.Kila mtu apambane na hali yake hakuna namna.
Kuna watu hawajui jinsi watu wanavyopigana mtaan kupata mkate wa sikuhivi nyie mnaosema vijana wanashinda vijiweni chakula ni serikali inawapa au huwa wanakuja makwenu kuwaomba chakula? niondolee upuuzi hapa